Tanzania tuwe na serikali moja.

Avatar Myg

JF-Expert Member
Jan 24, 2011
675
118
Naamini Tanzania itakua na umoja zaidi endapo kama tutakua na serikali moja (serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania), na sio kuwa na serikali mbili kama ilivyosasa au kuwa na serikali tatu kama wanavyopendelea baadhi ya wazalendo wa nchi hii.
- Haiingii akilini kwa nchi moja kuwa na serikali zaidi ya moja.
- Tutapunguza chokonozi zinazoichokonoa serikali kupitia sababu zinazoitwa kero za muungano.
- Itatusaidia kusahau kama kulikua na nchi inaitwa zanzibar, kama tanganyika inavyosahaulika na hili litaongeza mshikamano Tanzania.
- Tutapunguza gharama nyingi zinazotumika kuwalipa wawakilishi katika bunge la zanzibar, raisi wa zanzibar pamoja na serikali yake yote, Zanzibar kubakie na wakuu wa mikoa, wilaya, madiwani na wabunge watakao wawakilisha wananchi wao katika bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania - Dodoma.


Nimawazo tuu!..
 
mtazamo wangu kuuvunja MUUNGANO,iwe kama Sudan ili kuepusha malumbano mbalimbali nchini kuhusu Muungano
 
Dawa ni kuvunja muungano na kuunda serikali ya shirikisho ya majimbo.
 
Serikali iwe moja na kama tukiacha hivi ni bora tufanye mikoa iwe majimbo na Zanzibar pia kuwe na majimbo na serikali kuu iwe moja.
 
Tunataka Tanganyika yetu bana, haya mambo ya kujifanya eti muungano sijui tuulinde kwani kabla ya Muungano hakukuwa na maisha?
 
iwepo serikali ya jamhuri ya Tanganyika tu, hao wengine watafute jinsi ya kujitawala


Mkuu nakubaliana na wewe kwa asilimia mia moja kuwa kunahitajika mpate tena Jamhuri ya Tanganyika.

Ama kuhusu wengine kujitawala, hilo usiwe na shaka Mkuu maana sisi tayari tunayo yetu maana hatukuiua kama nyinyi.

Tatizo litaondoka pale mtakapowacha kuikalia Zanzibar kwa mabavu.

Serikali moja kama ilivyopendekezwa na mtoa mada, hio msahau na haiwezi kutokea maisha.

Zanzibar for Zanzibaris and we cant wait to see your backs.
 
Naamini Tanzania itakua na umoja zaidi endapo kama tutakua na serikali moja (serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania), na sio kuwa na serikali mbili kama ilivyosasa au kuwa na serikali tatu kama wanavyopendelea baadhi ya wazalendo wa nchi hii.
- Haiingii akilini kwa nchi moja kuwa na serikali zaidi ya moja.
- Tutapunguza chokonozi zinazoichokonoa serikali kupitia sababu zinazoitwa kero za muungano.
- Itatusaidia kusahau kama kulikua na nchi inaitwa zanzibar, kama tanganyika inavyosahaulika na hili litaongeza mshikamano Tanzania.
- Tutapunguza gharama nyingi zinazotumika kuwalipa wawakilishi katika bunge la zanzibar, raisi wa zanzibar pamoja na serikali yake yote, Zanzibar kubakie na wakuu wa mikoa, wilaya, madiwani na wabunge watakao wawakilisha wananchi wao katika bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania - Dodoma.


Nimawazo tuu!..
Mkuu
Inaonekana wewe umepata kikombe cha mabuu,sisi wanzanzibar ever ever hatutokuwa watanganyika/tanzania,na hatuwezi kuwa wamoja kwa sababu hamutendi haki,mutazalilisha wanzanzibari,na hatuko tayari kuuza utaifa wetu.

Waambieni wauganda,congo,rwanda waungane na nyinyi sio sisi.

Kwanza hii tanzania sio nchi,nchi ni zile zilizopata uhuru mwaka 1961 na 1964,amabzo tanganyika na zanzibar,tumeungana tu mambo fulani lakini sio kupotezeana utaifa,ikiwa muungano mzuri tangazeni muungano wa EAC uwe nchi moja muone,,,wapumbavu wakubwa.

Vivi hamufahamu kuwa zanzibar ni nchi ? Ever ever hatutokuwa taifa moja,na muungano tutauvunja kila mtu na chake.

MUUNGANO HATUUTAKI.
 
Mkuu
Inaonekana wewe umepata kikombe cha mabuu,sisi wanzanzibar ever ever hatutokuwa watanganyika/tanzania,na hatuwezi kuwa wamoja kwa sababu hamutendi haki,mutazalilisha wanzanzibari,na hatuko tayari kuuza utaifa wetu.

Waambieni wauganda,congo,rwanda waungane na nyinyi sio sisi.

Kwanza hii tanzania sio nchi,nchi ni zile zilizopata uhuru mwaka 1961 na 1964,amabzo tanganyika na zanzibar,tumeungana tu mambo fulani lakini sio kupotezeana utaifa,ikiwa muungano mzuri tangazeni muungano wa EAC uwe nchi moja muone,,,wapumbavu wakubwa.

Vivi hamufahamu kuwa zanzibar ni nchi ? Ever ever hatutokuwa taifa moja,na muungano tutauvunja kila mtu na chake.

MUUNGANO HATUUTAKI.

mpumbavu ni nani hasa?
Kwani nyinyi muna kipi cha zaidi ya Tanganyika mpaka povu linatoka hivyo?
MBUGA?MADINI?MAZIWA?MITO? Au?
Mumezaliana kama nguruwe huku Tanganyika alafu mnaleta nyodo!ngoja tuwabalase sasa sheeee.....y type
 
mpumbavu ni nani hasa?
Kwani nyinyi muna kipi cha zaidi ya Tanganyika mpaka povu linatoka hivyo?
MBUGA?MADINI?MAZIWA?MITO? Au?
Mumezaliana kama nguruwe huku Tanganyika alafu mnaleta nyodo!ngoja tuwabalase sasa sheeee.....y type
Mzee wako walokuzaa,son of bitch
 
Mzee wako walokuzaa,son of bitch

akili za wazenj walio wengi ndo zilivyo ckushangai,yan mtakomaje na huo uvivu wenu!
Yan mnachojua nyinyi ni kuzaliana tu kumbikumbi kazi hamtaki,ngoja tuwarudishe kwenu kama mtatosha kule ktk kipande chenu mana co nchi cz hata mbeya kubwa sana kwa hcho kibakuli chenu kinachoelea ktk maji na kwa huku 2kipiga dua kipotelee mbali,chezea Tsunami wewe?wenyewe mtarudi huku uliza Haiti!
Mbundo wee
 
akili za wazenj walio wengi ndo zilivyo ckushangai,yan mtakomaje na huo uvivu wenu!
Yan mnachojua nyinyi ni kuzaliana tu kumbikumbi kazi hamtaki,ngoja tuwarudishe kwenu kama mtatosha kule ktk kipande chenu mana co nchi cz hata mbeya kubwa sana kwa hcho kibakuli chenu kinachoelea ktk maji na kwa huku 2kipiga dua kipotelee mbali,chezea Tsunami wewe?wenyewe mtarudi huku uliza Haiti!
Mbundo wee
Hatutaki kazi ndo mana tumekuja kwenu kuomba omba au vipi ? Hebu njoo zanzibar uwone ndugu zako wakija huku zanzibar hupelekwa maskani wakafundishwa kucheza bao, unasema hatutaki kazi,hapo kariakoo,na maeneo mengine hao wazanzibari wana shughuli gani ? Be carefull broo
 
Hatutaki kazi ndo mana tumekuja kwenu kuomba omba au vipi ? Hebu njoo zanzibar uwone ndugu zako wakija huku zanzibar hupelekwa maskani wakafundishwa kucheza bao, unasema hatutaki kazi,hapo kariakoo,na maeneo mengine hao wazanzibari wana shughuli gani ? Be carefull broo

kwahyo kucheza bao na kunywa kahawa imekuw kazi cku hz?!
 
Serikali iwe moja na kama tukiacha hivi ni bora tufanye mikoa iwe majimbo na Zanzibar pia kuwe na majimbo na serikali kuu iwe moja.

Mkuu
Inaonekana wewe umepata kikombe cha mabuu,sisi wanzanzibar ever ever hatutokuwa watanganyika/tanzania,na hatuwezi kuwa wamoja kwa sababu hamutendi haki,mutazalilisha wanzanzibari,na hatuko tayari kuuza utaifa wetu.

Waambieni wauganda,congo,rwanda waungane na nyinyi sio sisi.

Kwanza hii tanzania sio nchi,nchi ni zile zilizopata uhuru mwaka 1961 na 1964,amabzo tanganyika na zanzibar,tumeungana tu mambo fulani lakini sio kupotezeana utaifa,ikiwa muungano mzuri tangazeni muungano wa EAC uwe nchi moja muone,,,wapumbavu wakubwa.

Vivi hamufahamu kuwa zanzibar ni nchi ? Ever ever hatutokuwa taifa moja,na muungano tutauvunja kila mtu na chake.

MUUNGANO HATUUTAKI.


mpumbavu ni nani hasa?
Kwani nyinyi muna kipi cha zaidi ya Tanganyika mpaka povu linatoka hivyo?
MBUGA?MADINI?MAZIWA?MITO? Au?
Mumezaliana kama nguruwe huku Tanganyika alafu mnaleta nyodo!ngoja tuwabalase sasa sheeee.....y type


nchi moja ni sahihi. kinachotokea ni kwamba tunaanza kuonesha mfano. mataifa ya afrika mashariki yatafuata katika hilo baadae lakini tunakuwa wa kwanza kuelekeza njia. kama ccm wanataka tuone bado kuna chembe ya busara kule, basi watumie huo ukiritimba wao kwenye mabaraza ya kata waliofanikiwa kuupata kuelekeza rasimu ibadilishwe kuweka mfumo wa serikali moja, au mbili. hapo binafsi nitawana wana maana.

uzoefu wangu humuJF ni kwamba wanaotoa matusi sana ni watu wadhaifu wa kufikiri. na wengi wao hawana exposure kielimu. kwa hiyo matusi mengine ni kuyapuuza tu.

Serikali moja ndo jibu la tatizo tulilo nalo. Kwa njia hiyo Mzanzibari atakuwa huru kujenga Kyela, nitakuwa huru kujenga Mbuyu Taifa. Huko ndo tunatakiwa kwenda.
 
Back
Top Bottom