Avatar Myg
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 675
- 118
Naamini Tanzania itakua na umoja zaidi endapo kama tutakua na serikali moja (serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania), na sio kuwa na serikali mbili kama ilivyosasa au kuwa na serikali tatu kama wanavyopendelea baadhi ya wazalendo wa nchi hii.
- Haiingii akilini kwa nchi moja kuwa na serikali zaidi ya moja.
- Tutapunguza chokonozi zinazoichokonoa serikali kupitia sababu zinazoitwa kero za muungano.
- Itatusaidia kusahau kama kulikua na nchi inaitwa zanzibar, kama tanganyika inavyosahaulika na hili litaongeza mshikamano Tanzania.
- Tutapunguza gharama nyingi zinazotumika kuwalipa wawakilishi katika bunge la zanzibar, raisi wa zanzibar pamoja na serikali yake yote, Zanzibar kubakie na wakuu wa mikoa, wilaya, madiwani na wabunge watakao wawakilisha wananchi wao katika bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania - Dodoma.
Nimawazo tuu!..
- Haiingii akilini kwa nchi moja kuwa na serikali zaidi ya moja.
- Tutapunguza chokonozi zinazoichokonoa serikali kupitia sababu zinazoitwa kero za muungano.
- Itatusaidia kusahau kama kulikua na nchi inaitwa zanzibar, kama tanganyika inavyosahaulika na hili litaongeza mshikamano Tanzania.
- Tutapunguza gharama nyingi zinazotumika kuwalipa wawakilishi katika bunge la zanzibar, raisi wa zanzibar pamoja na serikali yake yote, Zanzibar kubakie na wakuu wa mikoa, wilaya, madiwani na wabunge watakao wawakilisha wananchi wao katika bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania - Dodoma.
Nimawazo tuu!..