Tanzania tunaanza kuwa na Makaburu weusi wasiovumilia lolote kuhusu marekebisho ya Katiba au haki za uchaguzi, wakiviona ni uvunjifu wa amani nchini!

Tanzania tunaanza kuwa na Makaburu weusi wasiovumilia lolote kuhusu marekebisho ya Katiba au haki za uchaguzi, wakiviona ni uvunjifu wa amani nchini!

Umeelezea vizuri sana. Tanzania inamilikiwa na watu wachache sanaa mabadiliko kwao wanaona wanaporwa hati ya umiliki wa Tanzania. Kwa jinsi ccm inafanya inachochea uvunjifu wa Amani na Haitachukua mda mrefu itavunjika kweli na hawata amini.
 
Nasikitika ccm kimekuwa chama Cha kikoloni (makaburu) kuwatesa na kuwakandamiza weusi wenzao.
 
Ndugu Mwandishi sasa ni nini kifanyike? Kwa sababu kuandika hapa na ku lament haitatutoa hapo tulipo. Leta practical solutions za tuweke mikakati ya kutekeleza hizo solutions!

Mojawapo ni kuanza kudai hayo mabadiliko kwa vitendo kwa wananchi kujitokeza hadharani ila hizi za kuandika, uzi nyingi sana zimeshaandikwa na ikifika usiku watu tunaenda kulala asubuhi tunaamka tena tunaendelea pale tulipoishia jana.
Jambo la kwanza ni kuamsha vuguvugu la mambadiliko ndani ya wananchi wenyewe - wewe ukiamka mwamshe na jirani yako, ndugu zako, watoto wako, rafiki zako. Waondoe utando walionao machoni ili wautambue uharamia unaofanywa na Makaburu weusi nchini. Kumbuka signature yaku hapo chini, "Usimpuuze mjinga, muelimishe. La sivyo atajikusanya na wajinga wenzake na watatumia nguvu yao ya wajinga wengi kukuchagulia mbunge au hata raisi mjinga kama wao"
 
Nasikitika ccm kimekuwa chama Cha kikoloni (makaburu) kuwatesa na kuwakandamiza weusi wenzao.
Waambie watu huu ukweli wauelewe. Tangaza hili jina la CCM kama Makaburu weusi, taratibu watu wataanza kuona ukweli. Acha kuwaita CCM pekee, waite CCM Makaburu weusi ili watu waanze kujiuliza maswali, hatimae watatambua ukweli, kuwa CCM ni Makaburu weusi
 
Ni Makaburu weusi waliokubuhu!
Majina hayatoshi inabidi uunganishe nguvu ya kisiasa, kiuchumi, kijamii, vyama vyote, wasio na vyama, ndani ya chama walio ccm hawapendi yanayoendelea, dini, makabila yote. Watu wa mjini na vijijini. Hivyo ndivyo, njia pekee kushinda na kulikomboa Taifa.
 
Majina hayatoshi inabidi uunganishe nguvu ya kisiasa, kiuchumi, kijamii, vyama vyote, wasio na vyama, ndani ya chama walio ccm hawapendi yanayoendelea, dini, makabila yote. Watu wa mjini na vijijini. Hivyo ndivyo, njia pekee kushinda na kulikomboa Taifa
Sawa kabisa Mkuu. Ukifanya hivyo, na ukawa na slogan zinazofaa utafanikiwa tu. #Ondoa Makaburu weusi
 
Haki Huwa unatafutwa Kwa njia mbili na zimethibitika kisayansi.Njia ya kwanza ni amani yaani Kwa kuzungumza pande mbili zinazokinzana na kupatana.na nyingine ni njia ya machafuko ambayo hutokea baada ya njia ya amani kushindwa.Kwa Tanzania Kwa Sasa njia iliyobaki ni ya machafuko maana njia ya amani imesha shindwa zaidi ya miaka thelathini.No reform no election
 
Sawa kabisa Mkuu. Ukifanya hivyo, na ukawa na slogan zinazofaa utafanikiwa tu. #Ondoa Makaburu weusi
Chadema chini ya Slaa na Mbowe na kina Lissu, Zitto na wengine nafikiri walikuwa na jina zuri. Waliwaita Mafisadi wa nchi maana yake wezi, majambazi wa mali za umma.. Wakatoa list ya wizi wao.

JPM akachukua sera yao wakaicha, sera iliyopendwa sana Watanzania na bado inapendwa. Wakamchukua Lowassa. Aliwapa ubunge makini brand. authenticy ikaharibika kidogo kwa wakati ule. Watu wakajiuliza hivi ni kweli Chadema inapambana na mafisadi au inapambana kupata madaraka. Na wakipata madaraka watakuwa tofauti na CCM ya wakati ule iliyojaa ufisadi?
 
Back
Top Bottom