Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,205
- 3,009
Toka dunia hii iumbwe Tanzania tumekuwa na viongozi wa ngazi za juu ambao ni wanasiasa.
Yaani unakuta Rais ni mwanasiasa kwa miaka mingi, Waziri mkuu ni mwanasiasa n.K
Kuna baadhi ya mataifa yanachagua mtu kwa sera zake ata kama sio mwanasiasa. Angalia 2016 Trump alivyopata nomination ya Republican na kuwagaragaza wanasiasa machachari kina Ted Cruz, Rubio, Jeb Bush n.k
Trump alimshinda mwanadiplomasia nguli Hilary Clinton kwenye uchaguzi mkuu, kama taifa kubwa kama US wanachagua ntu ambaye hajawai kuwa ata mjumbe wa nyumba kumi kuwa raisi why sisi tungangane na wanasiasa?
Angalia maraisi kama Ronald Regan, kina Zelensky sio wanasiasa.
Ukiuliza watu 2030 nani anafaa kutuongoza watu watakutajia kina, Mwiguru, Makamba, Majaliwa n.K
Hivi Tanzania ni lazima tuongozwe na Wanasiasa?
Karibu
Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
Yaani unakuta Rais ni mwanasiasa kwa miaka mingi, Waziri mkuu ni mwanasiasa n.K
Kuna baadhi ya mataifa yanachagua mtu kwa sera zake ata kama sio mwanasiasa. Angalia 2016 Trump alivyopata nomination ya Republican na kuwagaragaza wanasiasa machachari kina Ted Cruz, Rubio, Jeb Bush n.k
Trump alimshinda mwanadiplomasia nguli Hilary Clinton kwenye uchaguzi mkuu, kama taifa kubwa kama US wanachagua ntu ambaye hajawai kuwa ata mjumbe wa nyumba kumi kuwa raisi why sisi tungangane na wanasiasa?
Angalia maraisi kama Ronald Regan, kina Zelensky sio wanasiasa.
Ukiuliza watu 2030 nani anafaa kutuongoza watu watakutajia kina, Mwiguru, Makamba, Majaliwa n.K
Hivi Tanzania ni lazima tuongozwe na Wanasiasa?
Karibu
Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app