vulcan
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,742
- 2,459
1.Uchumi wetu unakua kwa asilimia 7% kila mwaka, Tutaipiku nchi ya Kenya mwaka wa 2020.
2.Jeshi letu (TPDF) ndiyo lenye nguvu zaidi upande wa Eastern Africa, tulikomboa nchi za Africa kutokana na wabeberu... saa hizi hata ni vile sisi ni wapenda amani, tungekuwa tumeteka nchi kama Kenya.
Hata Russia walituomba watuletee Mig-35 , Uncle Magu akaseme tuko Imara
3.Bagamoyo Port itachukua Biashara yote kutoka Mombasa Port
4.Esi-Gi-Ara yetu itaunganisha nchi za great lakes zote, itakamilika 2019
5.Tumeunganisha wananchi wote kwenye national grid ya umeme.
6.bara bara zetu ndiyo bora zaidi E.Africa
7.Kama tungeingia Somalia kupiga Al-shabab , hiyo missioni ingekamilika chini ya wiki mbili.
8.Sisi ndiyo tunalisha Nchi ya Kenya, tukifunga mipaka yetu mtakufa njaa.
Lies Bongolalas tell themselves, Bongolalas are like Somalis, inflated sense of self importance and imagined might.
2.Jeshi letu (TPDF) ndiyo lenye nguvu zaidi upande wa Eastern Africa, tulikomboa nchi za Africa kutokana na wabeberu... saa hizi hata ni vile sisi ni wapenda amani, tungekuwa tumeteka nchi kama Kenya.
Hata Russia walituomba watuletee Mig-35 , Uncle Magu akaseme tuko Imara
3.Bagamoyo Port itachukua Biashara yote kutoka Mombasa Port
4.Esi-Gi-Ara yetu itaunganisha nchi za great lakes zote, itakamilika 2019
5.Tumeunganisha wananchi wote kwenye national grid ya umeme.
6.bara bara zetu ndiyo bora zaidi E.Africa
7.Kama tungeingia Somalia kupiga Al-shabab , hiyo missioni ingekamilika chini ya wiki mbili.
8.Sisi ndiyo tunalisha Nchi ya Kenya, tukifunga mipaka yetu mtakufa njaa.
Lies Bongolalas tell themselves, Bongolalas are like Somalis, inflated sense of self importance and imagined might.