The Deputy Minister for Foreign Affairs and International Co-operation, Mr Mahadhi Juma Maalim, saidTanzania will not recognise any regime that comes to power through unconstitutional means.-Lakini Waziri pia angetuambia kuwa kama hatutambui serikali zinazoingia katika madaraka kwa mapinduzi kama ya libya,Tulipaswa pia kutozitambua zile ambazo zinabaki madarakani UNCONSTITUTIONALY,The uncontitutional existance in power ndiyo imepelekea hayo ya Libya,angalia Zimbabwe,Angalia Uganda,haiwezekani ukae madarakani Miaka arobaini na miwili ukipinduliwa useme waliokupindua wameingia madarakani Uncostitutionally,wakati wewe hukutana hiyo constitutional waklati wako,huu pia ni unadfiki mkubwa kwa viongozi wetu wengi wa kiafrica.