PreGE2025 Tanzania Stand Up: Walio salama ni CCM pekee?

PreGE2025 Tanzania Stand Up: Walio salama ni CCM pekee?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
869
Reaction score
1,282
Tanzania stand up, stand up
Stand up for your rights
Stand up for your power
Stand up for your development

Wasiojulikana watateka nchi nzima?

Walio salama ni wana CCM tu?
Wanajua kujaza form za ugombea ni CCM tu?
Nani asiyeona umuhimu wa tume huru ya uchaguzi?
Nani asiyeona umuhimu wa katiba mpya?

Unajiziba maskio kwa faida ya nani?

Kuipenda penda Tanzania ni kuwapenda watu wake, kulinda rasilimali zake, kuilinda mipaka yake, kuiendeleza.
 
Back
Top Bottom