engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Waziri Barak alifanya mahojiano na Radio Israel na kutoa kauli ambayo imenukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari vya nchi hiyo wiki iliyopita kuwa
Germany, France and England are not Tanzania, Mauritania or Tripolitania ..these are very important, very relevant countries and we dont have an interest in increasing tensions with them or making them bitter enemies.
hii ni kutoka kwa Mh. JOHN MNYIKA BLOG
Wana JF
Inamaana Tanzania ile ya Mwal Nyerere iliyokuwa ikiheshimika leo inadharaulika namna hii?
Hapana Viongozi wetu wachukue hatua za haraka,hatuwezi kukubari dharau hizi.
Germany, France and England are not Tanzania, Mauritania or Tripolitania ..these are very important, very relevant countries and we dont have an interest in increasing tensions with them or making them bitter enemies.
hii ni kutoka kwa Mh. JOHN MNYIKA BLOG
Wana JF
Inamaana Tanzania ile ya Mwal Nyerere iliyokuwa ikiheshimika leo inadharaulika namna hii?
Hapana Viongozi wetu wachukue hatua za haraka,hatuwezi kukubari dharau hizi.