Tanzania`s future in Manji`s hands?

Na wakati huo huo bado unaufagilia udikteta uchwara, kudharau katiba na sheria za nchi, chuki za kutisha na vitisho kila kukicha na ukwapuzi wa pesa za rambi rambi. Sijui ni habari zipi zinazokuvutia wakati nchi inaenda mrama.

Nimekupa na like

Awamu hii navutiwa na habari za siasa kuliko zamani.
 
Acha ujinga wewe! Nimeanza kuandika kuhusu fisadi Manji humu hata kabla ya dikteta uchwara kufikiria kuchukua form.
Punguza jazba basi ... Mimi nimesema nafurahi upo pamoja na dicteta uchwara .. Katika swala zima LA kumuweka ndani ... Sikusema kwamba wewe ni mtetezi wa Manji .. Au nimekosea mkuu
 
Na wakati huo huo bado unaufagilia udikteta uchwara, kudharau katiba na sheria za nchi, chuki za kutisha na vitisho kila kukicha na ukwapuzi wa pesa za rambi rambi. Sijui ni habari zipi zinazokuvutia wakati nchi inaenda mrama.

Bak

Niambie jamani hata kuwa uliyofikiri hayatatendeka haoa nchini yanatendeka....ha ha haaaaa

Jiachie umpe Mkulu hongera yake kwa kweli, sio kila kitu uweke neno la kuzidi kujiumiza moyoni.
 
Yapi hayo yanayotendeka? Haya ya undumilakuwili wa kuwakamata akina Ruge na Singa na wengine waliopokea pesa za wizi bado wanapeta mtaani? Haya ya kumfukuza kazi Nape wakati mwizi wa vyeti Bashite anaendelea kula bata? Haya ya kuvalia njuga mchanga wa dhahabu wakati dhahabu bado inatoka tena bila kukaguliwa kwenye viwanja vya ndege vilivyo machimboni pia kugomea kupeleka mikataba yote ya nchi bungeni. Hili la kukiuka sheria za nchi kuhusu wanafunzi wapatao ujauzito? Hili la kukaa kimya kuhusu fisadi Lugumi!? Hili la kudai katiba mpya na Tume Huru ya uchaguzi si vipaumbele vyake!?

You're very bright cocochanel, you can do much better than this. Just open your eyes and brain a little bit further.

Bak

Niambie jamani hata kuwa uliyofikiri hayatatendeka haoa nchini yanatendeka....ha ha haaaaa

Jiachie umpe Mkulu hongera yake kwa kweli, sio kila kitu uweke neno la kuzidi kujiumiza moyoni.
 
Mchukuaji hatua mwenyewe ni nani wakati Manji alishiriki kutoa michango ya mamilioni kuhakikisha mgombea wa mtandao anaibuka kidedea? Mafisadi wote bongo wanapeta tu hakuna wa kuwagusa au 'nchi itawaka moto'
Kumbe haya mambo ya Manji yalianza zamani...kweli hizi kumbu kumbu ni noma...
 
Yaani kwa kuwa Mani ametajwatajwa tu kwenye tuhuma za rushwa anaonekana kuwa ni mla rushwa tayari? nadhani hapa anahukumiwa isivyo halali. Tuhuma zinazotolewa dhidi yake zinaweza kuwa kweli au za kupakaziwa, kwa nini hatua zisichukuliwe ili kuthibitisha tuhuma hizo ili sura yake halisi ionekane?
Tutaendelea kuhukumu kupitia vyombo vya habari hadi lini?
Sitetei kuwa Manji si mla rushwa kama ambavyo sitetei kuwa ni mla rushwa. Kunatakiwa kuwe na hatua za kuthibitosha hizi tuhuma
Sio mla rushwa Ni jizi grade 1 na ukizingatia yeye Hana Kinga wacha anyooshwe kwa aina yake.
EPA Bil 28, NSSF na PPF Bill 83, CWT Bill 16 na Kigamboni na Arusha kuliko buma alikuwa apige zaidi ya Bill 300 na NSSF
 
Yapi hayo yanayotendeka? Haya ya undumilakuwili wa kuwakamata akina Ruge na Singa na wengine waliopokea pesa za wizi bado wanapeta mtaani? Haya ya kumfukuza kazi Nape wakati mwizi wa vyeti Bashite anaendelea kula bata? Haya ya kuvalia njuga mchanga wa dhahabu wakati dhahabu bado inatoka tena bila kukaguliwa kwenye viwanja vya ndege vilivyo machimboni pia kugomea kupeleka mikataba yote ya nchi bungeni. Hili la kukiuka sheria za nchi kuhusu wanafunzi wapatao ujauzito? Hili la kukaa kimya kuhusu fisadi Lugumi!? Hili la kudai katiba mpya na Tume Huru ya uchaguzi si vipaumbele vyake!?

You're very bright cocochanel, you can do much better than this. Just open your eyes and brain a little bit further.
Umeamisha magoli ee?
Subiri tu yote yatafungwa!
Ha ha ha ...
 
Tanzania`s future in Manji`s hands?

-ROW ERUPTS AFTER CONTROVERSIAL BUSINESSMAN IS TOUTED AS ONE OF NATION’S LEADING ROLE MODELS

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

A ROW has exploded over the decision of organizers of an upcoming investment conference in Dar es Salaam to declare controversial businessman Yusuf Manji as a leading role model helping to shape Tanzania’s future.

The Economist Group, which is convening a much-hyped roundtable conference in the country on October 6 and 7 this year, lists Manji among ’’people shaping Tanzania’s future.’’

Manji, Chief Executive Officer of Quality Group Limited, is scheduled to be one of the key speakers at the roundtable sponsored by Barrick Tanzania, Zain, Artumas Group and Coca-Cola.

One of the key topics of discussion at the planned conference is aptly titled ’’Is the government doing enough to tackle corruption?’’

Sessions of the business roundtable will be led by President Jakaya Kikwete and senior government ministers, according to the organizers.

’’The Economist’s First Business Roundtable with the government of Tanzania offers you the opportunity to gain exclusive access to the country’s top decision-makers and discuss its economic future with an international audience of high-level executives,’’ says an advert for the conference published in The Economist’s of September 13-19 issue of 2008.

Manji, who faces a series of corruption allegations in Tanzania, has been highlighted as one of the key players in the nation’s future economic success.

The Secretary-General of the Opposition Chadema party, Dr Wilbroad Slaa, reacted angrily to the decision of The Economist to name the businessman as one of the ’nation’s role models.’

’’How can Manji be among people entrusted with our national economy and future well-being?’’ he queried in an interview with THISDAY.

’’It’s very unfortunate that Manji is named as one of the people shaping this country’s future ... We should make sure that people tainted with corruption (allegations) are not given such honours at forums,’’ he added.

The Karatu Member of Parliament, who is an outspoken critic of grand corruption, noted that Manji was just recently alleged to have been involved in the external payment arrears (EPA) scandal at the Bank of Tanzania.

Among other things, the controversial businessman is also at the centre of a long-standing corruption investigation by the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) on a dubious 2004 deal involving the sale of overpriced godowns to the National Social Security Fund (NSSF) for 47.5bn/-.

Persistent questions also remain over another dubious deal between Manji’s Quality Group Ltd and the Public Service Pension Fund (PSPF) involving the sale of Quality Plaza in Dar es Salaam for 36bn/-.

Slaa slammed organizers of the conference for naming the businessman among the corporate speakers at the meeting, regardless of the various corruption allegations against him.

’’The fact that Manji faces many corruption allegations in Tanzania should have been the first criteria not to include him in the list of people shaping our nation’s future ... Organizers should seriously reconsider their decision,’’ he insisted.

Other notable senior government and corporate speakers to be joined by Manji at the gathering include the Minister for Infrastructure Development, Dr Shukuru Kawambwa, Energy and Minerals Minister William Ngeleja and the Minister for Industry, Trade and Marketing, Mary Nagu.

Also in the list of key speakers at the upcoming conference are East African Co-operation Minister Diodorus Kamala and the Managing Director of Vodacom Tanzania Limited, Deitlof Mare.

Other topics to be discussed during the gathering include the role of the private sector in tackling Tanzania’s infrastructure bottlenecks, perceptions of new investors from China and India on the country, tourism development and diversification into new areas such as IT and telecoms.
Eti Manji a-shape Tanzania's Economic future na ni role model!?What an insult and fully blown ignorance.How can Manji be a role model wakati ameshiriki kwenye vitendo vingi vya kuwaibia wananchi wa Tanzania?That was a slap in the face to Tanzanians,the GoT and CCM.

Mimi nitakwenda mbali zaidi,serikali ilipaswa kususia kabisa mkutano huo. Kwa kuhudhuria mkutano wa aina hii serikali ili-endorse vitendo vya Manji.Hata hivyo kwa serikali iliyokuwa haioni mbali kama ya Vasco that was expected.Ingekuwa kwa JPM hakuna mtu ambaye ange dare hata kufikiria kufanya mkutano wa aina hii Tanzania.
 
Yaani Manji ana shape Tanzania's Economic future na ni role model!?This is fully blown ignorance.How can he be a role model Wakati ameshiriki kwenye matukio na episodes nyingi za kuwaibia wananchi wa Tanzania?That is a slap in the face
to Tanzanians,the GoT and CCM.

Mimi nakwenda mbali zaidi,serikali isusie kabisa huo mkutano, otherwise in one way or the other itakuwa ime-endorse vitendo vya Manji.
Habari ya kuamka mkuu? Mkutano huu ni wa miaka mingi iliyopita. Watu wanafukua makaburi.
 
Yapi hayo yanayotendeka? Haya ya undumilakuwili wa kuwakamata akina Ruge na Singa na wengine waliopokea pesa za wizi bado wanapeta mtaani? Haya ya kumfukuza kazi Nape wakati mwizi wa vyeti Bashite anaendelea kula bata? Haya ya kuvalia njuga mchanga wa dhahabu wakati dhahabu bado inatoka tena bila kukaguliwa kwenye viwanja vya ndege vilivyo machimboni pia kugomea kupeleka mikataba yote ya nchi bungeni. Hili la kukiuka sheria za nchi kuhusu wanafunzi wapatao ujauzito? Hili la kukaa kimya kuhusu fisadi Lugumi!? Hili la kudai katiba mpya na Tume Huru ya uchaguzi si vipaumbele vyake!?

You're very bright cocochanel, you can do much better than this. Just open your eyes and brain a little bit further.


Wewe ni pussy!
 
Habari ina ukweli! Ila imeandikwa na This Day...........!

People must know that in this world nobody is INDISPENSABLE that is why people are born and die, people forget that it is God who mashal the destiny of men and nations. Manji is one of the fish in a so big sea.

Those are just surrogate media, remember if you have money you can also control the media and set the national Agendas.
 
Back
Top Bottom