MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,975
uwe unapanga maandishi vizuri ili yasomeke,mbuzi wee
Kwa ninj unamtukana/kumdhalilisha?
uwe unapanga maandishi vizuri ili yasomeke,mbuzi wee
THE BAK I KNEW!!Mchukuaji hatua mwenyewe ni nani wakati Manji alishiriki kutoa michango ya mamilioni kuhakikisha mgombea wa mtandao anaibuka kidedea? Mafisadi wote bongo wanapeta tu hakuna wa kuwagusa au 'nchi itawaka moto'
usishangae vijana wetu ni wavivu sana wa kusoma...ujuzi wao wanaupata saa 2 usiku kwenye taarifa za habari tu zilizoandaliwa na waandishi makanjanja.Nikituona tuvijana twa UKAWA tukimtetea Manji sasa hivi, na nikilinganisha na bizi threads na wadharau sana!
THE BAK I KNEW!!
Hatimaye wa kuwagusa mafisadi amefika a.k.a J The baptist!
At least this comes back that nothing personal...just the busibessMchukuaji hatua mwenyewe ni nani wakati Manji alishiriki kutoa michango ya mamilioni kuhakikisha mgombea wa mtandao anaibuka kidedea? Mafisadi wote bongo wanapeta tu hakuna wa kuwagusa au 'nchi itawaka moto'
Nina wasi wasi na hii post yako...ni kama vile huamini unachokisema.Mie najitambua Mkuu si rahisi kutetereka kwenye maamuzi yangu. Ndiyo sababu nilichoandika 2007 hakina tofauti na nilichokiandika 2017.
Rekebisha lugha kidogo...jf ni noma duh manji acha wamshonyee tu
Asante mkuuRekebisha lugha kidogo...
Bill gates hakumaliza chuo kikuu.Nilipata mtu mmoja aliyeniambia kuwa Manji ni product kali ya Havard University yeye pamoja na Rostam Aziz. Hawa wamefundishwa entrepreneurship ya hali ya juu. Kwa hiyo kwa macho yao wanaona jinsi watanzania kwa upamoja wao walivyolala. Kwa elimu waliyopata wanaona fursa nyingi mno hapa Tanzania.
Lakini kwangu mimi ninasikitika tu kuwa hawa watu hawana hata chembe moja ya nia ya kutumia ujuzi na elimu yao kwa ajili ya nchi wanayoiita yao. ELIMU ni nini kama huitumii kwa ajili ya jamii yako??
Shame on them!!!!!!!!!!!!!!
Kwamba Manji anaoneka atashepu uchumi wa nchi na kwamba yeye ni role model mimi napinga kabisa na siko tayari kubadilishwa imani yangu.
contents ndio swala la kujadili.Title ys thread imekaa kiboya sana
Mchukuaji hatua mwenyewe ni nani wakati Manji alishiriki kutoa michango ya mamilioni kuhakikisha mgombea wa mtandao anaibuka kidedea? Mafisadi wote bongo wanapeta tu hakuna wa kuwagusa au 'nchi itawaka moto'
Nafurahi kwamba upo na magufuli kwa hili LA kumshikilia manjiMie najitambua Mkuu si rahisi kutetereka kwenye maamuzi yangu. Ndiyo sababu nilichoandika 2007 hakina tofauti na nilichokiandika 2017.