Fisadi.Jones
Senior Member
- Aug 15, 2008
- 110
- 7
Hivi kwa nini kazi yetu ni kupinga tu?? Sijasikia hata siku moja TZ imekuja na hii proposal halafu wenzetu wakakataa ila kila siku nasikia kuwa tumekataa hiki tumekataa that. If we really want to be in it then we have to be in it. Why can't we come up with our own agendas????
Mpendwa Mr. Zero; wewe ni mTanzania au ni mKenya?
maneno yako yanaonyesha kuwa wewe sio mTanzania.
We mjima acha ujinga wako hapa. Tatizo lako unafikiria kishambashamba ndiyo maana huna argument zaidi ya ku-support wenzako. Aandika mawazo yako mwenyewe ili tujuwe kuwa una akili au ni peasant wa kwelikweli. Sina time na wewe, nenda kalime.
For others, point yangu actually haizungumzii hiyo land reform. Ninachozungumzia hapo ni EAC kwa ujumla. Kama sisi tunaona hatutanufaika kwa nini basi tusijitoe mapema badala ya kupoteza pesa za walipa kodi bila sababu then tujiunge wakati utakapokuwa muafaka. Hata UE ilipoanza UK hawakujiunga waliangalia kwanza situation then wakajiunga baadaye.
Ardhi peke yake siyo issue kwenye jumiya. Kama TZ tumekubali kuwa [/B]Federation by 2013 kwa nini leo tusikubali integration. Integration ni process towards the Federation. Wakati SADC wanzungumzia swala la FTA na integration TZ ndiyo tulikuwa wa kwanza kusaini.
So far kuna land reform inayoendelea TZ . Badala ya ku-complain tungetumia experience yetu kuwasaidia wenzetu ili wananchi wao wawe na ardhi. After all tatizo la aridhi TZ lisha anza kujitokeza. It is just a matter of time. Ndiyo maana unaona akina Yona na Mramba viwanja vyao vina thamani ya mabillion already.
Wakuu kabla ya kukataa jambo lolote ni vyema kwanza kutafuta msingi wa kukataa jambo lenyewe.
Watanzania tujiulize ni kwanini nchi zote za EAC kasoro Tanzania zinataka suala la ardhi liwe huru kwa wananchi wote wa EAC !.
Kenya ina population ya 35 milion na eneo 580,370 sq km,Uganda 31 milioni na eneo 241,038 sq km,Rwanda 10 milioni na eneo 26,338 sq km,Burundi 9 milion na eneo 27816 sq km, nchi zote nne kwa pamoja zinajumla ya watu 84 milioni na eneo 875,562 sq km.
Tanzania ina watu 36 milioni na ina eneo la 945,087 sq km.
Sq km za nchi zote nne bado hazijafikia ukubwa wa eneo la Tanzania,population ya nchi zote nne ni milioni 84 kwa eneo 875,562 sq km.
Msingi wa makelele yote hasa kutoka kwa ndugu zetu wakenya ni ardhi,nusu ya nchi ya Kenya ni jangwa,sheria za ardhi za Kenya ni mbovu kwa sababu inamilikiwa na watu wachache ambao sasa wamekuwa wapiga kelele wazuri wa shirikisho{fast tracking}.
Watanzania tunapaswa kuwa kitu kimoja kupinga kwa nguvu zetu zote suala la ardhi kuwa huru kwa wanchi wa EAC.
May be federation itatusaidia kupata watu wenye akili ya kunegotiate kwenye mikataba kuliko hawa mafisadi wanaoangalia matumbo yao tu halafu wakienda kwenye jumuia wanajifanya wanauchungu na nchi. Kama kweli wangekuwa na uchungu na nchi Mwanza na Shinyanga sasa hivi zingekuwa kama Johannesburg.
Hivi kwa nini kazi yetu ni kupinga tu?? Sijasikia hata siku moja TZ imekuja na hii proposal halafu wenzetu wakakataa ila kila siku nasikia kuwa tumekataa hiki tumekataa that. If we really want to be in it then we have to be in it. Why can't we come up with our own agendas????
Hili suala la kwamba wakenya na waganda wanaagenda ambayo sis hatuijui ni ya kijinga na inatakakutuonyesha njisi gani tulivyo wavivu wa kufikiria. Kama kweli wenzetu wanaagenda ya siri, je WaTZ agenda yetu ni nini??????
Wakuu kabla ya kukataa jambo lolote ni vyema kwanza kutafuta msingi wa kukataa jambo lenyewe.Watanzania tujiulize ni kwanini nchi zote za EAC kasoro Tanzania zinataka suala la ardhi liwe huru kwa wananchi wote wa EAC !.
Kenya ina population ya 35 milion na eneo 580,370 sq km,Uganda 31 milioni na eneo 241,038 sq km,Rwanda 10 milioni na eneo 26,338 sq km,Burundi 9 milion na eneo 27816 sq km, nchi zote nne kwa pamoja zinajumla ya watu 84 milioni na eneo 875,562 sq km.
Tanzania ina watu 36 milioni na ina eneo la 945,087 sq km.
Sq km za nchi zote nne bado hazijafikia ukubwa wa eneo la Tanzania,population ya nchi zote nne ni milioni 84 kwa eneo 875,562 sq km.
Msingi wa makelele yote hasa kutoka kwa ndugu zetu wakenya ni ardhi,nusu ya nchi ya Kenya ni jangwa,sheria za ardhi za Kenya ni mbovu kwasababu inamilikiwa na watu wachache ambao sasa wamekuwa wapiga kelele wazuri wa shirikisho{fast tracking}.
Watanzania tunapaswa kuwa kitu kimoja kupinga kwa nguvu zetu zote suala la ardhi kuwa huru kwa wanchi wa EAC.
Mkuu Zero,
Hapa ninaungana na wewe kwa nini tunaendelea kupoteza muda wa kujadili hii intergration? Hata hivyo wakati wa maoni sehemu kubwa ya watanzania waliikataa.
Ninatofautiana na wewe kama kweli tunaweza kuwasaidia kwenye hili suala la ardhi. Ni gumu kuliko unavyoweza kufikiria. Sehemu kubwa za vurugu za Kenya ni ardhi. Na hii alieharibu ni Kenyatta na washirika wake mara tu baada ya uhuru walijimegea ardhi. Waulize waliofika kenya uone jinsi watu walivyo hozi ardhi. Sio leo wala kesho watakubali kugawia watu wasio na ardhi.
Nionavyo mimi hawa ndugu zetu wanataka kutumia hii intergration kama sehemu moja wapo ya kupunguza matatizo yao ya ardhi. Tutakaporuhusu watu kusafiri na kuhozi ardhi Tanzania basi wote wenye matatizo na ardhi kwenye hizo nchi watakimbilia TZ. Hii inamaanisha kwa kiasi kikubwa tatizo la ardhi kwao litapungua. Si unajua "kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi".
Labda nikuulize swali moja ndugu yangu Zero hebu tuambie faida moja tu wewe unaikosa kwa sababu hauko na ushirika na Kenya et la, na pindi hii intergration ikikubaliwa utaipata. Nitafurahi kuijua.
Njimba
Wewe kweli Zero. Kwa hiyo kigezo cha kukubali proposal kiwe ni kwamba wengine wamekubali za kwako? mimi nadhani kila proposal inaangaliwa kwa merit yake. Kama proposal za TZ zingekuwa haziangalii maslahi yao, wangezikataa. Pengine wanazikubali kwa sababu either zinaangalia maslahi yao vizuri au zina compromize ambazo wao wako tayari kuishi nazo; unavyoiweka ni kama vile wanazikubali kwa sababu wanaipenda Tanzania.
Na kukubali kwao proposal za TZ kamwe haina maana TZ ikubali kila proposal kwa sababu tu kwamba zake zimekubaliwa.
...seems humu ukiwa for federation wananchi wanakuita sio mtanzania,ukiwa una support Nkunda/Kagame sio Mtanzania,hii phony nationalism sijui watu wametoa wapi na ni hatari kweli kweli maana any extremism ya kuwaona wengine kama foreigners kwenye debate ndogo ndogo kama hizi nafikiri is beyond stupidity,sikatai kucheza na ardhi is a dangerous territory na ningependa iendelee kuwa mali ya Public kama ilivyo sasa ili kuzuia yaliyotokea kenya na kwingineko lakini jamani kwanini vitu kama passport/ID ambayo itasaidia free movements kwa wote kuanzia watalii,wafanyabiashara,goods& services na wananchi,nafikiri hii arrogance & disruption tunayoweka sasa itakuja kutu cost more kuliko tunavyofikiria,ndio majority ya watanzania hawataki Fed lakini kumbuka in History not always majority wanakuwa right....angalia sheria za marekani za kibaguzi kuanzia ndoa,elimu mpaka voting rights majority walikuwa wanasupport huo upuuzi,lakini 1948 california high court kwa mara ya kwanza ikapiga chini sheria ya kukataza mweusi na mweupe kuoana ingawaje majority walikuwa wanapinga ndoa za namna hiyo,anyway tuache kuitana majina humu la sivyo tutawaachia mjadili wenyewe
Mzee, sina maana ya kuwasaidia ardhi yetu. Bali kuwasaidia katika land reform kutokana na matatizo tuliyaona.[/QUOTE]
Yes ninakupata hapo ila wao lengo lao ni hilo kwa sababu hizi hapa.
Niwajuavyo wakenya wanajua wamesoma na wanajua kila kitu. Siamini kama familia ya Kenyatta & co iko tayari kuachia ardhi hata kasehemu kadogo. Tatizo lingine kuna raia wengi wa uingereza bado wanahozi ardhi mfano mzuri ni DELAWARE farms at Naivasha, wanahodhi ardhi kubwa sana kule. Kwa hiyo ujue ukigusa tu zile siasa za Mugabe utawagusa hata wajomba wa wakenya waingereza.
Hebu kwa uzoefu wako niambia utatumia njia gani kuchukua ardhi ya Mkikuyu na Muingereza Kenya?
Njimba
Mzee, sina maana ya kuwasaidia ardhi yetu. Bali kuwasaidia katika land reform kutokana na matatizo tuliyaona.[/QUOTE]
Yes ninakupata hapo ila wao lengo lao ni hilo kwa sababu hizi hapa.
Niwajuavyo wakenya wanajua wamesoma na wanajua kila kitu. Siamini kama familia ya Kenyatta & co iko tayari kuachia ardhi hata kasehemu kadogo. Tatizo lingine kuna raia wengi wa uingereza bado wanahozi ardhi mfano mzuri ni DELAWARE farms at Naivasha, wanahodhi ardhi kubwa sana kule. Kwa hiyo ujue ukigusa tu zile siasa za Mugabe utawagusa hata wajomba wa wakenya waingereza.
Hebu kwa uzoefu wako niambia utatumia njia gani kuchukua ardhi ya Mkikuyu na Muingereza Kenya?
Njimba
Lengo langu halikuwa ku-focus kwenye suala la ardhi. Bali ECA kwa ujumla. Ndiyo maana kuna sehemu nilisema jinsi gani tulivyo mstari wa mbele ku-sign masuala ya SADC wakati kwenye EAC tunasitasita. Kwa mfano suala la FTA kwenye SADC TZ tulikwa wa kwanza ku-sign bila hata kuwauliza wananchi wetu lakini kwenye EAC ilikuwa ngoma.
Hivi unajua siku hivi TZ inapata matatizo sana kutoka kwa donors kwa vile iko SADC na vilevile iko EAC? Mfano EU siku hizi wanakata ku-fund project ya SADC mpaka TZ ijitoe kwa vile similar project TZ ilikuwa funded kwenye EAC.
Lengo langu halikuwa ku-focus kwenye suala la ardhi. Bali ECA kwa ujumla. Ndiyo maana kuna sehemu nilisema jinsi gani tulivyo mstari wa mbele ku-sign masuala ya SADC wakati kwenye EAC tunasitasita. Kwa mfano suala la FTA kwenye SADC TZ tulikwa wa kwanza ku-sign bila hata kuwauliza wananchi wetu lakini kwenye EAC ilikuwa ngoma.
Hivi unajua siku hivi TZ inapata matatizo sana kutoka kwa donors kwa vile iko SADC na vilevile iko EAC? Mfano EU siku hizi wanakata ku-fund project ya SADC mpaka TZ ijitoe kwa vile similar project TZ ilikuwa funded kwenye EAC.
Kwa mtindo huu kweli kazi tunayo. Ina maana hatujua tunachotaka?
Njimba