Tanzania proposes law to bar foreigners from grazing land

hata mimi nimepiga mahesabu kwa sheria hii niKa0na ni upuuzi mtupu na kukosa akili. sasa mumeshindwa kukusanya pesa za ''ndani kwa ndani'' (au hata pengine hakuna) mukaamua kuenda international, sio?
sheria hii imekaa ki-ukomoaji zaidi....
lipeni madeni yenu ya ndege taratibu muwache zulma.
Nani alikwambia kwamba hatukusanyi kodi?sisi hatutegemei fine za mifugo kuendesha mchi yetu,tuna madini na rasilimali za kutosha,mbona nchi zingime hazilalamiki Bali ninyi wakenya tu?hii sheria ni ya kulinda maslahi ya nchi yetu,unaposema tumeenda international, kwani tumeitungia nchi za nje,ww huna akili,kwa hiyo TZ ni international grazing land?anyway weka comparison ya deni la Kenya na TZ,ss hatujawahi kukopa deni kulipa deni.nawaambia awamu hii mtalimia meno.
 
Nani alikwambia kwamba hatukusanyi kodi?sisi hatutegemei fine za mifugo kuendesha mchi yetu,tuna madini na rasilimali za kutosha,mbona nchi zingime hazilalamiki Bali ninyi wakenya tu?hii sheria ni ya kulinda maslahi ya nchi yetu,unaposema tumeenda international, kwani tumeitungia nchi za nje,ww huna akili,kwa hiyo TZ ni international grazing land?anyway weka comparison ya deni la Kenya na TZ,ss hatujawahi kukopa deni kulipa deni.nawaambia awamu hii mtalimia meno.
ushawahi kusikia kuwa Kenya imesamehewa deni???
ni nchi gani juzi ilidhalilishwa hadharani, mbele ya umati na mkulima kwa kushindwa kulipa deni???
nyinyi hamukopesheki maanake hamuaminiki, kila time munazingua na pia usilinganishe deni la Kenya (Middle Income Country) na deni la Ldc (walala hoi) kwani hautakua umeipa heshima yake nchi ya Kenya.
dAwA ya deni ni kulipa!!! uende juu au urudi chIni hata ikiwezekana, kopa kwengine ili uzibe pengo lakini mwisho wa siku ni kuwa deni limelipwa.
lipeni deni na muziruhusu ndege zenu ziruke popote, kokote.
mambo ya kukomoa wacheni lakini.... sio vizuri aisee.
 
ushawahi kusikia kuwa Kenya imesamehewa deni???
ni nchi gani juzi ilidhalilishwa hadharani, mbele ya umati na mkulima kwa kushindwa kulipa deni???
nyinyi hamukopesheki maanake hamuaminiki, kila time munazingua na pia usilinganishe deni la Kenya (Middle Income Country) na deni la Ldc (walala hoi) kwani hautakua umeipa heshima yake nchi ya Kenya.
dAwA ya deni ni kulipa!!! uende juu au urudi chIni hata ikiwezekana, kopa kwengine ili uzibe pengo lakini mwisho wa siku ni kuwa deni limelipwa.
lipeni deni na muziruhusu ndege zenu ziruke popote, kokote.
mambo kukomoa wacheni lakini.... sio vizuri aisee.
Middle income;
1.Mnakufa njaa
2.mnashindwa kujenga Barabara hat km 1.
3.Mmeshindwa kumaliza ugaidi
Naomba unijibu hili swali,TUNAMKOMOA NANI?
 
ushawahi kusikia kuwa Kenya imesamehewa deni???
ni nchi gani juzi ilidhalilishwa hadharani, mbele ya umati na mkulima kwa kushindwa kulipa deni???
nyinyi hamukopesheki maanake hamuaminiki, kila time munazingua na pia usilinganishe deni la Kenya (Middle Income Country) na deni la Ldc (walala hoi) kwani hautakua umeipa heshima yake nchi ya Kenya.
dAwA ya deni ni kulipa!!! uende juu au urudi chIni hata ikiwezekana, kopa kwengine ili uzibe pengo lakini mwisho wa siku ni kuwa deni limelipwa.
lipeni deni na muziruhusu ndege zenu ziruke popote, kokote.
mambo ya kukomoa wacheni lakini.... sio vizuri aisee.
Hahahaha, eti atukopesheki, hatuna sababu ya kukopa kila mradi kwasababu tuna uwezo wa kulipa wenyewe, tunaogopa kudhalilishwa kama ninyi mnavyodhalilishwa na wachina, aibu kubwa kutangazia dunia kwamba mtafikisha SGR hadi Malaba, matokeo yake reli imeishia porini.

Ifuatayo ni baadhi ya miradi ambayo tunatekeleza kwa pesa za mkopo
1)Upanuzi wa bandari ya Dar
2)Ujenzi wa Ubungo interchange
3)Ukarabati wa reli ya kati (MGR)
4)Ujenzi wa daraja la baharini (Salender)
5)Juzi tumekopeshwa kwa ajili ya "SGR phase II.

Tunaaminika na kukopeshwa zaidi yenu, lakini tunajitahidi kutumia pesa yetu ili kuepuka kunyanyaswa kama mnavyonyanyasika katika SGR yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha, eti atukopesheki, hatuna sababu ya kukopa kila mradi kwasababu tuna uwezo wa kulipa wenyewe, tunaogopa kudhalilishwa kama ninyi mnavyodhalilishwa na wachina, aibu kubwa kutangazia dunia kwamba mtafikisha SGR hadi Malaba, matokeo yake reli imeishia porini.

Ifuatayo ni baadhi ya miradi ambayo tunatekeleza kwa pesa za mkopo
1)Upanuzi wa bandari ya Dar
2)Ujenzi wa Ubungo interchange
3)Ukarabati wa reli ya kati (MGR)
4)Ujenzi wa daraja la baharini (Salender)
5)Juzi tumekopeshwa kwa ajili ya "SGR phase II.

Tunaaminika na kukopeshwa zaidi yenu, lakini tunajitahidi kutumia pesa yetu ili kuepuka kunyanyaswa kama mnavyonyanyasika katika SGR yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Na Msalato Airport Dodoma.
 
Tumia akili vizuri, BBC haiwezi kutangaza kuhusu sheria za nchi kuhusu matumizi yao ya ardhi, hivyo ni vyombo vya kimataifa lazima habari iwe kwa na uhusiano na mataifa mengine, mfano ni kama nchi inapanga sheria inayokiuka sheria za kimataifa, japo ni sheria inayohusu ndani ya nchi, lakini inagusa mikataba ya kimataifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kichaa ww

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom