Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
Refer hili angalizo ambalo nililitoa kabla ya mechi.
Tunafahamu vilabu vya simba na yanga michezo inayofanyika wanapokutana na baadhi ya team ambazo hawana uhakika nazo. This time yanga hili suala wameliundia kamati kabisa.
Nmejaribu kuwafutialia simba baada ya kuja kiongozi wao msouth wamebadilika sana maana yeye binafsi anapinga fitna na ushirikina.
Yanga wameendelea kupitia kamati yao ambayo inaongozwa na baadhi ya watu wa karibu sana na GSM. Hii inafanya kazi ya kuwaona team pinzani baadhi ya wachezaji ili kuwapatia ushindi.
Na wamekuwa na nia ya kumpromote molinga na morrison ili waweze tengeneza brand yao hivyo hawa hupewa kipaumbele cha kufunga.
Nawaambia TANZANIA PRISONS WAULIZENI VIZURI WACHEZAJI WENU BACK ZILE MBILI KARIBU NA KIPA NA KIPA MWENYEWE.ZILE PESA NDO ZILIWAFANYA WAUZE MECHI. HUKU REFA NAYE AKIWA AMEPEWA CHAKE
Yanga SC leo inaishinda Tanzania Prisons kirahisi isiposhinda nipigwe Ban
Kumbe na ww n mnyama ARUSHA KWETU Jr
www.jamiiforums.com
Tunafahamu vilabu vya simba na yanga michezo inayofanyika wanapokutana na baadhi ya team ambazo hawana uhakika nazo. This time yanga hili suala wameliundia kamati kabisa.
Nmejaribu kuwafutialia simba baada ya kuja kiongozi wao msouth wamebadilika sana maana yeye binafsi anapinga fitna na ushirikina.
Yanga wameendelea kupitia kamati yao ambayo inaongozwa na baadhi ya watu wa karibu sana na GSM. Hii inafanya kazi ya kuwaona team pinzani baadhi ya wachezaji ili kuwapatia ushindi.
Na wamekuwa na nia ya kumpromote molinga na morrison ili waweze tengeneza brand yao hivyo hawa hupewa kipaumbele cha kufunga.
Nawaambia TANZANIA PRISONS WAULIZENI VIZURI WACHEZAJI WENU BACK ZILE MBILI KARIBU NA KIPA NA KIPA MWENYEWE.ZILE PESA NDO ZILIWAFANYA WAUZE MECHI. HUKU REFA NAYE AKIWA AMEPEWA CHAKE