habari, wanajf naomba msaada kwa yeyote alieapply tanzania postal bank hizo email zimeenda..me nimetuma saana ila zinakataa kabisa.. narudishiwa email kuwa zimekataa..msaaada!!
jamani tuwe tuna ambizana hizo nafasi tunahitaji pia maana kitaa jua kali sana
tuambia na wenzako ni kazi gani izo?
Wakuu Link ni hii hapa Job OpportunitiesTangazo lipi na umetuma link ipi?
Wakuu Link ni hii hapa Job Opportunities
kama ulikua unataka kwa nin na ww usiende kuokota hukoo??
Yani teller ndo wanahitaji mtu na bachelor yake.......elimu za bongo bhana.
hapana shida yy kanijibu vibaya. me nimeomba msaada ananishushua wakati anashida ya kujua vile vile.. ndo hawa wanamtukana Mamba hawajavuka mto..
habari, wanajf naomba msaada
kwa yeyote alieapply tanzania postal bank hizo email zimeenda..me
nimetuma saana ila zinakataa kabisa.. narudishiwa email kuwa
zimekataa..msaaada!!
jamani tuwe tuna ambizana hizo nafasi tunahitaji pia maana kitaa jua kali sana