Tanzania ni kitovu kwa Afrika

Tanzania ni kitovu kwa Afrika

Masalu Jacob

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2017
Posts
1,340
Reaction score
1,493
Tanzania ndio nchi pekee duniani yenye utajiri usiofikirika,

Viongozi na wananchi tuweni makini na Mali tulizonazo. Kwasasa kuna makundi ya watu wanaokuja Tanzania kutoka ng'ambo kwa kujifanya watalii, wawekezaji na watu tulionao kimahusiano ya kitaifa ila nyuma yake wanakesha wanatufanyia upelelezi mkubwa sana juu ya Mali zetu na uwezo wetu wa kuweza kuzilinda upo vipi.

Tuweni makini sana. Tanzania inauwezo wa kuibadilisha Afrika ndani ya muda mdogo endapo tukiamua na kutekeleza yale tuyatakayo.

Nakutakia siku njema.
 
'Tanzania ndio nchi pekee duniani yenye utajiri usiofikirika'.

Hivi DRC unaijua wewe?

dodge
Sio DRC Congo wewe unayoisikia kwa kuambiwa bali Afrika Magharibi yote zinafanana katika kumiliki Mali utofauti wao ni ukubwa tu wa eneo.

Kwasababu hiyo haifanyi Tanzania kutokuwa kitovu kwa Afrika na Mali nyingi zisizofikirika yaani zipo na zinaonekana. Tuzilinde tu jamani wananchi na viongozi.
 
Sasa kwa nini hili bulldozer letu linalilia vijimisaada vya madaftari
 
Tanzania ndio nchi pekee duniani yenye utajiri usiofikirika,

Viongozi na wananchi tuweni makini na Mali tulizonazo. Kwasasa kuna makundi ya watu wanaokuja Tanzania kutoka ng'ambo kwa kujifanya watalii, wawekezaji na watu tulionao kimahusiano ya kitaifa ila nyuma yake wanakesha wanatufanyia upelelezi mkubwa sana juu ya Mali zetu na uwezo wetu wa kuweza kuzilinda upo vipi.

Tuweni makini sana. Tanzania inauwezo wa kuibadilisha Afrika ndani ya muda mdogo endapo tukiamua na kutekeleza yale tuyatakayo.

Nakutakia siku njema.
Dr C,
Ndo nchi tajiri duniani.
Thamani ya dhahabu iliyoko haielezeki.
Utafiti unaonesha hvyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dr C,
Ndo nchi tajiri duniani.
Thamani ya dhahabu iliyoko haielezeki.
Utafiti unaonesha hvyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa hapo chini anabisha boss.
Sio DRC Congo wewe unayoisikia kwa kuambiwa bali Afrika Magharibi yote zinafanana katika kumiliki Mali utofauti wao ni ukubwa tu wa eneo.

Kwasababu hiyo haifanyi Tanzania kutokuwa kitovu kwa Afrika na Mali nyingi zisizofikirika yaani zipo na zinaonekana. Tuzilinde tu jamani wananchi na viongozi.

dodge
 
Hujafanya utafiti hutakiw kuongea kwa taarifa yako hata top 20 HATUGUSI Kuna nchi zina rasilimali ukianza kuzivuna inakuchukua miaka 200
 
Tanzania ndio nchi pekee duniani yenye utajiri usiofikirika,

Viongozi na wananchi tuweni makini na Mali tulizonazo. Kwasasa kuna makundi ya watu wanaokuja Tanzania kutoka ng'ambo kwa kujifanya watalii, wawekezaji na watu tulionao kimahusiano ya kitaifa ila nyuma yake wanakesha wanatufanyia upelelezi mkubwa sana juu ya Mali zetu na uwezo wetu wa kuweza kuzilinda upo vipi.

Tuweni makini sana. Tanzania inauwezo wa kuibadilisha Afrika ndani ya muda mdogo endapo tukiamua na kutekeleza yale tuyatakayo.

Nakutakia siku njema.

Blah blah narrow minded.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo unataka kutuaminisha kuwa vita na mabeberu iwe ya wananchi wote.MA CCM SIJUI TUPOJE YAANI?
Tanzania ndio nchi pekee duniani yenye utajiri usiofikirika,

Viongozi na wananchi tuweni makini na Mali tulizonazo. Kwasasa kuna makundi ya watu wanaokuja Tanzania kutoka ng'ambo kwa kujifanya watalii, wawekezaji na watu tulionao kimahusiano ya kitaifa ila nyuma yake wanakesha wanatufanyia upelelezi mkubwa sana juu ya Mali zetu na uwezo wetu wa kuweza kuzilinda upo vipi.

Tuweni makini sana. Tanzania inauwezo wa kuibadilisha Afrika ndani ya muda mdogo endapo tukiamua na kutekeleza yale tuyatakayo.

Nakutakia siku njema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujafanya utafiti hutakiw kuongea kwa taarifa yako hata top 20 HATUGUSI Kuna nchi zina rasilimali ukianza kuzivuna inakuchukua miaka 200
Haahaa dunia hii mambo yapo chini juu, juu chini.

Karibu!
 
Back
Top Bottom