Tanzania na mauzauza

deus tedeum

New Member
Sep 9, 2022
2
0
Kwakweli Tanzania tunaelekea pabaya na kwahaya hatupaswi kuwa kimya ,Kama wananchi katika taifa hili,na pia Kama wenye uhalali wa nchi,Tanzania tumekuwa na Mambo ambayo haya fai Tena Sana na tusipo angalia Tanzania ,wengi wanaangalia maslahi tu na Wala sikitu kingine hawana uchungu na nchi yao Wala hata huruma kwasababu tu basi wao wamesha pata mwafaka wamaisha pamoja na vizazi vyao ndio maana nchi inaendeshwa hivi ila kwaakili ya ki inadamu huyu derefa tuliye naye katika gari hili hakufaaa kuwa hapo tuliangalia sifa na Wala si Bora dereva yatupasa kuwa makini aksante
 
Umeamua kabisa kutotumia panctuation mark yoyote kwenye Uzi wako mpaka pale ulipomaliza kuandika!
 
Back
Top Bottom