Tanzania na Jamaica

Tanzania na Jamaica

Biashara kubwa ya ma homeboy south ni ndumu na ngada sasa wale wa south wanachukulia huko bongo sio poa huwenda kuna masoko kabisa ya hayo maswala

Wacha we. Wauzaji wakubwa dagga RSA ni WaTZ?
 
Me nimesukuma sana kazi hapo nikisema kazi unanielewa na wadau kuanzia wazawa, wapopo zims tunapiga stories sana na mtu anakuwa natazamo flani kuhusu bongo na anatamani Siku moja afike ajionee lakini unamprove wrong kwamba bongo haiko hivi sio mmoja wala wawili walionimbia hv

Huwenda una miaka kumi hapo labda unafundisha kiswahi shuleni huwezi ukaelewa
Naishi mwaka wa kumi sasa
 
Me nimesukuma sana kazi hapo nikisema kazi unanielewa na wadau kuanzia wazawa, wapopo zims tunapiga stories sana na mtu anakuwa natazamo flani kuhusu bongo na anatamani Siku moja afike ajionee lakini unamprove wrong kwamba bongo haiko hivi sio mmoja wala wawili walionimbia hv

Huwenda una miaka kumi hapo labda unafundisha kiswahi shuleni huwezi ukaelewa
Dah tuishie hapa inavyooneka we umeahadithiwa.. mm najua watu ambao hawaijui kaburu kila kitu wanajifanya wanajua. Hata mm nilikuwa hivyo kabla.
 
Kuna jamaa mmoja nilikutana naye hapa bongo yy kwao ni Pakistan kwa asili ila hajawahi fika uko, amezaliwa na kukulia UK sasa akawa ananiambia kwa malikia bange ni dili sana ukiwa na robo eka au ata nusu eka ww ni milionea,nikaona kama utani mana bongo hapa iko nje nje halafu mpaka kwa shilling Mia unapata akashangaa sana
 
Bangi haitakai Kichwa kibovu wala Stress.. Vinginevyo wanandugu hawakawii kukupeleka kwa mganga wakisema Umerogwa...























Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ibariki Chakwale
Mungu Ibariki Gairo
Mungu Ibariki Morogoro
 
Back
Top Bottom