Tanzania na Jamaica

Tanzania na Jamaica

ThatMan

Senior Member
Joined
Jul 4, 2019
Posts
127
Reaction score
196
Kuna uhusiano wowote wa kidiplomasia kati ya Tanzania na Jamaica,je Kuna mkataba wowote ulioingiwa au unatakiwa kuingia kati ya nchi hizi mbili
 
Kuna uhusiano wowote wa kidiplomasia kati ya Tanzania na Jamaica,je Kuna mkataba wowote ulioingiwa au unatakiwa kuingia kati ya nchi hizi mbili

Sina hakika vizuri. Lakini nijualo huhitaji viza kwenda Jamaica. Kwenda Jamaica ni kama kwenda Uganda tu hapo. Uwe na pasipoti halali tu basi.

Hii ni dalili ya mahusiano mazuri baina ya Jamaica na Tanzania.

You see what I'm sayin'?
 
Sina hakika vizuri. Lakini nijualo huhitaji viza kwenda Jamaica. Kwenda Jamaica ni kama kwenda Uganda tu hapo. Uwe na pasipoti halali tu basi.

Hii ni dalili ya mahusiano mazuri baina ya Jamaica na Tanzania.

You see what I'm sayin'?
Mkuu Asante sana kumbe kunaendeka
 
Nilipokwenda Jamaica, vipeperushi tulivyopewa kuhusu tuendako vilituambia kwamba, tofauti na fikra za watu wengi, Ganja ni marufuku Jamaica, kama vile ilivyo marufuku Tanzania.

Mawazoni ukisikia Jamaica unajua kwamba unakatiza kitaa unakuta 98.9% ya Wajamaika wamefuga nywele za rasta, na wanavuta misokoto wakitembea huku na kule. Walichotuambia ni kwamba wenye imani za urasta ni asilimia sita tu hivi ya wananchi wote (06%), na wanaofuga nywele za kirasta ni wachache zaidi.
 
Nilipokwenda Jamaica, vipeperushi tulivyopewa kuhusu tuendako vilituambia kwamba, tofauti na fikra za watu wengi, Ganja ni marufuku Jamaica, kama vile ilivyo marufuku Tanzania.

Mawazoni ukisikia Jamaica unajua kwamba unakatiza kitaa unakuta 98.9% ya Wajamaika wamefuga nywele za rasta, na wanavuta misokoto wakitembea huku na kule. Walichotuambia ni kwamba wenye imani za urasta ni asilimia sita tu hivi ya wananchi wote (06%), na wanaofuga nywele za kirasta ni wachache zaidi.
Hata south Africa wanaamini Tanzania bangi ni Kama sigara tu
 
Kuna watu wanafrahia fursa hiyo,kwa kwenda kukata stim jamaica,ngoja waje kutoa hisia za fraha zao.
 
Nchi ambayo ubalozi wake upo bar,unategemea itakuwaje 😂😂😂
 
Duh
Nilipokwenda Jamaica, vipeperushi tulivyopewa kuhusu tuendako vilituambia kwamba, tofauti na fikra za watu wengi, Ganja ni marufuku Jamaica, kama vile ilivyo marufuku Tanzania.

Mawazoni ukisikia Jamaica unajua kwamba unakatiza kitaa unakuta 98.9% ya Wajamaika wamefuga nywele za rasta, na wanavuta misokoto wakitembea huku na kule. Walichotuambia ni kwamba wenye imani za urasta ni asilimia sita tu hivi ya wananchi wote (06%), na wanaofuga nywele za kirasta ni wachache zaidi.
 
Na wewe hapo unajiona Marley au vipi..!!

Mi nikisikia Jamaica tu kitu kinakuja kichwani ni bhangi na Bob Marley.
Mm Ni Rastafarian pure kabisa na ninafuata mising ya Rastafarian
 
Kumbe wabongo Jamaica tunatimba bila visa..!
Sasa naomba mnisaidie,kuna umbali gani kati ya Jamaica na Marekani(mamtoni)?
 
Back
Top Bottom