Mkurabitambo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2010
- 230
- 57
nninasikitishwa na waratibu wa shughuli mbalimbali za serikali.sinautaalamu sana na mambo ya takwimu ila je huu uhakki unaofanywa na hawa watu wa vitambulisho vya taifa na ule uhakiki utakao fanywa wakati wa sensa kunatofauti gani? au ndo yaleyale ya LIWALO NA LIWE?