Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
Timu ya Taifa ya Vijana wenye umri chini ya miaka 23 imetwaa ubingwa wa michuano ya CECAFA kwa kuifunga Burundi kwa mikwaju ya Penalti 6 - 5 baada ya kutoa suluhu ndani ya dakika 90 kwenye uwanja wa Bahir Dar, Ethiopia