Tanzania loses Case! Tumeshindwa kesi!

Wakenya walie tu, sisi tunajenga barabara.

Kesi ya nyani unaipeleka kwa ngedere.

wewe foxy huwa unamshabikia sana rais mwislam sasa wameisha huyo ndio wa mwisho sasa sijui 2015 utakua kwa nani au kwa zito
 
Hiyo hela wailete hapa Dar wajenge flyover hata moja wasikwepe majukumu ya msingi kwa kukimbilia mbugani. Ahadi ya mheshimiwa ndio hivyo tena bado mwaka mmoja tu.
 
wewe unaona nisahihi barabara ya lami kupita katikati ya mbuga

nakwamanufaa tu ni ya yule mwarabu wa loliondo na hotel za bilila za kikwete
Mbona husemi kuhusu wasafiri wa Arusha - Musoma - Mwanza kupitia mbugani? Huoni kama watanufaika na ujenzi huo...
 

Mbona Mikumi imepita na wanyama hawafi?mbona barabara ya Nkasi -Katavi kupitia mbuga za Katavi iko katika uboreshaji na wanyama hawakimbii?nani alisema wanyama hawapendi lami?mi naona cha muhimu ni kuweka matuta wanayma wasigongwe hovyo./
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…