Tanzania loses Case! Tumeshindwa kesi!

Tanzania loses Case! Tumeshindwa kesi!

Wakenya walie tu, sisi tunajenga barabara.

Kesi ya nyani unaipeleka kwa ngedere.

wewe foxy huwa unamshabikia sana rais mwislam sasa wameisha huyo ndio wa mwisho sasa sijui 2015 utakua kwa nani au kwa zito
 
Hiyo hela wailete hapa Dar wajenge flyover hata moja wasikwepe majukumu ya msingi kwa kukimbilia mbugani. Ahadi ya mheshimiwa ndio hivyo tena bado mwaka mmoja tu.
 
wewe unaona nisahihi barabara ya lami kupita katikati ya mbuga

nakwamanufaa tu ni ya yule mwarabu wa loliondo na hotel za bilila za kikwete
Mbona husemi kuhusu wasafiri wa Arusha - Musoma - Mwanza kupitia mbugani? Huoni kama watanufaika na ujenzi huo...
 
Hii haikuwa ni kwa ajili ya wakenya tu, kuna watanzania wengi walipinga ili swala mi nikiwa mmoja wao. Nilisaini petiton kupitia internet, na niliwashawishi watu wengi kusaini pia. Sio kila kitu tu mlete ushabiki, kama mnataka mawasiliano ya kweli kwanini hamtengezi barabara ya mtawara? Acheni uharibifu wa mazingira.

Mbona Mikumi imepita na wanyama hawafi?mbona barabara ya Nkasi -Katavi kupitia mbuga za Katavi iko katika uboreshaji na wanyama hawakimbii?nani alisema wanyama hawapendi lami?mi naona cha muhimu ni kuweka matuta wanayma wasigongwe hovyo./
 
Back
Top Bottom