Tanzania Kweli kichaka cha mafisadi

Tanzania Kweli kichaka cha mafisadi

kipre

Member
Joined
Jun 22, 2011
Posts
18
Reaction score
4
Habari wana jf,leo katika taarifa ya habari za michezo pamoja na kwenye baadhi ya magazeti kuna taarifa kuwa zile sh.milion saba timu ya wanawake ya Twiga walizochangiwa na timu ya wabunge zimechakachuliwa na TFF kupitia meneja wa timu ya wanawake, wachezaji wametishia kugomea mchezo wao na Namibia,Watanzania tutafika kwa hali hii kweli!!!!!!!!
 
hii bongo yetu hadi kichefu chefu! utafikili tunatumia ubongo wa samaki!
 
Habari wana jf,leo katika taarifa ya habari za michezo pamoja na kwenye baadhi ya magazeti kuna taarifa kuwa zile sh.milion saba timu ya wanawake ya Twiga walizochangiwa na timu ya wabunge zimechakachuliwa na TFF kupitia meneja wa timu ya wanawake, wachezaji wametishia kugomea mchezo wao na Namibia,Watanzania tutafika kwa hali hii kweli!!!!!!!!

Je, pesa zilizotolewa bila kutangazwa kwenye vyombo vya habari?
 
Back
Top Bottom