Wana JF, aina yetu ya watu ndiyo inayotuponza katika kupambanua mambo mengi.
Kwanza, Huyo muulizaji kwa nini aliuliza hatua ya kusaidia kijeshi wakati huu ambapo hata matokeo ya kura hayajatangazwa? Hilo halikuwa swali la msingi kwa wakati huu. Kwa mfano, kwa nini asingeilza jitihada zinazofanywa na mwenyekiti wa AU katika hali tete ya sasa huko Harare, akakimibilia jeshi?
Pili, Pinda hakujibu straight kama ambavyo mada ina suggest. Amesema :
* Suala la Zimbabwe kweli ni complex issue kwa sasa. Akafafanua kidogo.
* Kwa msaada`wowote, lazima ifike mahali msaada unaombwa, lakini kama hujaombwa msaada, huwezi kukurupuka tu na kwenda, bila kuangalia hali halisi.
*Mwisho akasema ikiwa utahitajika msaada, basi utaweza kupatikana.
Analytically, jibu la swali hili laweza kuwa baya kulingana na positioning ya mind ya muulizaji. Lakini a simple analysis show that suala la majeshi halipo na haliwezekani kwa sasa ambapo hata kikao cha kwanza cha kimataifa juu ya kusuluhisha hili hakijafanyika.
Pinda anajua kuwa SADC wanakaa keshokutwa, asingeweza kuzungumzia majeshi...likewise, ningekuwa Zitto nisingemuuliza swali irrelevant vile kwa wakati huu, kabla sijamuuliza juu ya nini kinafanywa na nchi za SADC kuhakikisha kuwa hali haizidi kuwa mbaya Zimbabwe.
If it appears the PM is a war monger, so is the Zittos. /SIZE]