Tanzania kukua kiuchumi haraka

Tanzania kukua kiuchumi haraka

Kinachokua hapa ni inflation tu, hakuna kitu. Kama ninyi kweli mnajua hebu angalieni unemployment rate kama ipo sawa na hizo nchi tunazokua nazo kwa growth sawa. Hizo data ni lobbying huko IMF basi.
 
Wewe mpuuzi ni wapi nimezungumzia vyama. Unadhani utanitisha na Kiingereza chako njaa? Fanya hivi; zungusha, zungusha zungusha. Nikisema "mabadilikooo" unajibu "Lowasaaa".
My apologies.

Hivyo kuzungusha mikono maana yake ni nini?
 
Sasa mkuu hapo wa kusifiwa ni serikali ya awamu ya NNE au ya tano? Maana serikali ya awamu ya tano hata bajeti yake bado
Sasa ikisomwa ya JPM si ndo itakuwa balaaaa mkuu?
 
Sasa mkuu hapo wa kusifiwa ni serikali ya awamu ya NNE au ya tano? Maana serikali ya awamu ya tano hata bajeti yake bado
Sasa ikisomwa ya JPM si ndo itakuwa balaaaa mkuu?
 
Ripoti ya World Economic Outlook ‘WEO’ ambayo inatoa makadirio ya maendeleo ya kiuchumi katika ngazi ya kimataifa, ripoti hiyo hutolewa April na September/October kila mwaka ambapo hutumia database kupata taarifa
za akaunti za taifa, mfumuko wa bei, viwango vya ukosefu wa ajira, bei za bidhaa n.k.

Jamani haya ni makadirio yanaweza kuwa sahihi, kupanda au kushuka. Naona watu wanashambuliana.

Hii ni dalili njema kwa wachumi kutabiri hayo, kazi kwetu kuyafanya kuwa kweli
 
Wewe mpuuzi ni wapi nimezungumzia vyama. Unadhani utanitisha na Kiingereza chako njaa? Fanya hivi; zungusha, zungusha zungusha. Nikisema "mabadilikooo" unajibu "Lowasaaa".
na nikisema ''lowassa'' unajibu ''mabadilikooo''. jitahidi uwe unamalizia sentensi mkuu.
 
Ripoti ya World Economic Outlook ‘WEO’ ambayo inatoa makadirio ya maendeleo ya kiuchumi katika ngazi ya kimataifa, ripoti hiyo hutolewa April na September/October kila mwaka ambapo hutumia database kupata taarifa
za akaunti za taifa, mfumuko wa bei, viwango vya ukosefu wa ajira, bei za bidhaa n.k.

Katika ripoti yake ya April 2016 imeitaja nchi ya Myanmar kuwa ndio nchi inayotajwa kuongoza nchi zinazotarajiwa kurejea katika ukuaji mkubwa wa uchumi kwa pato linalokadiriwa kukua kwa 8.6% kwa mwaka.

Ivory Coast imekuwa nchi ya pili na makadirio YA ukuaji wa pato la Taifa la 8.5% mwaka huu.

Nchi zingine zilizotabiriwa kurudi takwimu ya juu ya
ukuaji ni pamoja na India, Laos na Tanzania.

=============
Ghana is not part of Africa’s fastest growing economies according to the IMF’s latest World Economic Outlook. Photo: Wikimedia.

With an expected growth rate of 8.5 per cent for 2016, Côte d’Ivoire will be the fastest growing economy in Africa, according to the International Monetary Fund’s latest World Economic Outlook.

Côte d’Ivoire’s economy has benefited from government policies and structural reforms, which have resulted in strong inclusive growth and has increased both private and public investments, according to the World Bank.

Despite the Ghanaian government painting a positive picture about its economy, Ghana didn’t make it to the top ten fastest growing African economies.

Placed second is Tanzania with a projected growth rate of just under 7 per cent and Senegal completing the top three with 6.6 per cent.

According to the World Economic Forum, Africa’s positive economic outlook is under pressure with the growth rate expected to remain just under 5 per cent. Foreign direct investment flows are expected to continue to grow, although at a slower pace.

Rwanda has transformed dramatically since the 1994 genocide and is now placed 5th in the fastest growing African economies. The country is one of the continent's most competitive economies and a top reformer in improving the business environment.

Ahead of the World Economic Forum on Africa in May, it is important to recognise the major challenges that many African economies face. Some of the major threats include commodities slump, currency devaluations and geo-security risks.

The World Economic Forum on Africa 2016 will take place in Kigali, Rwanda from 11-13 May.


Source: Africa's fastest growing economies for 2016 revealed
Naona Serikali ya Awamu ya Tano Imekuja na Neema za Aina Yake, Maana Tulizoea Kushika Nafasi za Juu katika Mambo mengine ambayo si ya Kuvutia sana au ya kimaendeleo Kwa Hili, Big Up Watanzania Wote...

"
According to this new statistic shared by the International Monetary Fund IMF, Tanzania is on Second positionamong the top 15 growing economies in Africa. The statistic shows that Cote D’Ivoire is the most economically viable country in Africa."
Yaani kama Tanzania imepanda (if ni taarifa ya kweli) we unafikiri hizo ni takwimu za serikali yenye miezi 6, serikali ambayo hata haijabajeti wala kupitisha mipango yake?
Hebu jihoji vema basi!
ImageGen.ashx

Africa’s fastest growing economies for 2016 revealed

Western Africa
by Aviwe Mtila Last Updated: Mon, 25 Apr 2016 12:23:13 GMT 0

Ghana is not part of Africa’s fastest growing economies according to the IMF’s latest World Economic Outlook. Photo: Wikimedia.

With an expected growth rate of 8.5 per cent for 2016, Côte d’Ivoire will be the fastest growing economy in Africa, according to the International Monetary Fund’s latest World Economic Outlook.

Côte d’Ivoire’s economy has benefited from government policies and structural reforms, which have resulted in strong inclusive growth and has increased both private and public investments, according to the World Bank.

Despite the Ghanaian government painting a positive picture about its economy, Ghana didn’t make it to the top ten fastest growing African economies.

Placed second is Tanzania with a projected growth rate of just under 7 per cent and Senegal completing the top three with 6.6 per cent.

According to the World Economic Forum, Africa’s positive economic outlook is under pressure with the growth rate expected to remain just under 5 per cent. Foreign direct investment flows are expected to continue to grow, although at a slower pace.

Rwanda has transformed dramatically since the 1994 genocide and is now placed 5th in the fastest growing African economies. The country is one of the continent's most competitive economies and a top reformer in improving the business environment.

Ahead of the World Economic Forum on Africa in May, it is important to recognise the major challenges that many African economies face. Some of the major threats include commodities slump, currency devaluations and geo-security risks.

The World Economic Forum on Africa 2016 will take place in Kigali, Rwanda from 11-13 May.

Source: CNBC Africa
From world 3rd fastest growing economy, Nigeria drops out of Top 15 in Africa - Vanguard News

Wanajamvi hizi si habari za udaku kama mwanzisha mada alivyotuwekea link.Nimenyofoa link za ukweli hapo juu ni kweli Tanzania ni ya pili Arica baada ya Ivory Coast. Ukuaji wa uchumi Afrika ni kama ifuatavyo.

1. Cote D'Ivoire - 8.5%
2. Tanzania - 6.9%
3. Senegal - 6.6%
4. Djibouti - 6.5%
5. Rwanda - 6.3%
6. Kenya - 6.0%
7. Msumbiji - 6.0%
8. Central Africa - 5.7%
9. Sierra Leone - 5.3%
10. Uganda - 5.3%

Ukitazama statistics kwa jicho la pili utaona katika kumi bora yapo mataifa manne ya Afrika Mashariki yakiongozwa na Tanzania,Rwanda,Kenya na Uganda.Kama masuala ya ubinafsi yakiwekwa kando nchi za Afrika Mashariki zinaweza kupiga hatua kubwa za kimaendeleo.
hivi mnajua kipindi cha mkapa na kikwete uchumi wetu ulikuwa unapanda kwa wastani wa asilimia ngapi? ni vizuri mkawa na taarifa sahihi kabla ya kukimbilia kukomenti chochote.
 
hivi mnajua kipindi cha mkapa na kikwete uchumi wetu ulikuwa unapanda kwa wastani wa asilimia ngapi? ni vizuri mkawa na taarifa sahihi kabla ya kukimbilia kukomenti chochote.
We Abunuasi hivi kweli taarifa yeyote ya uchumi wa taifa hili utapimwa na kureflect uzuri wa serikali ya awamu ya 5? Kweli muda huu unatosha kupima uzuri wa serikali ya JPM ktk kupandisha uchumi?
Kwa lipi liliundwa mwaka 2016?
 
We Abunuasi hivi kweli taarifa yeyote ya uchumi wa taifa hili utapimwa na kureflect uzuri wa serikali ya awamu ya 5? Kweli muda huu unatosha kupima uzuri wa serikali ya JPM ktk kupandisha uchumi?
Kwa lipi liliundwa mwaka 2016?
mkuu nimeku-cc wewe kwenye post yangu kwa sababu ndo uliyendika point. watu wanamsifu magufuli eti ndo kasababisha uchumi wetu umekuwa kwa kiwango hicho cha 6.8% wakati hana hata miezi 7 madarakani na hata bajeti inayotekelezwa haijapitishwa na serikali yake. ni kituku watz wanasifia kila kitu mpaka ujinga.
kuna watu wanamsifu magufuli kwa kujenga daraja la kigambo kama rais.
huo ni ujinga uliopitiliza, ningewaona wenye akili kama wangesifu kwa mtiririko huu;
Kikwete kama rais
magufuli kama waziri mwenye dhamana na
Dr. Dau (japo hamumpendi) kama Director wa shirika husika lililojenga daraja.
Huo wa pili ni mfano tu nimechomekea, sorry anyway.
mwisho; point niliyotakiwa ku-make hapo ni kuhusu ukuwaji wa uchumi wetu; tangia kipindi cha mkapa na cha Kikwete chote uchumi wetu umekuwa ukiongezeka kwa wastani huohuo. hata kama kulikuwa na fluctuation ni kidogo sana. ndo maana ya kuwapa changamoto hao mburula wakajitafutie ukweli na sio kusifia tu.
 
Back
Top Bottom