Tanzania-Kenya Relations will remain uneasy forever

Dogo, alichokisema mtoa uzi is naturally happening due to the theory of nature of the survival of the fittest!
Kwa asili kuna wakati hutokea kutokana na ushindani wa asili katika maisha,fafanua zaidi,kwani imani yenu sii ushindani ila uadui,na sii wa asili ila wakupandikizwa,uongo uongo.Ama na sema uongo ndugu zangu.
 
Hivi kumbe Russia na USA ni majirani? Hilo nilikuwa sijajua
Angalia jimbo la Alaska limepakana na nchi gani kwa upande ule mwingine maanake wengine Jiografia haipandi kwani wanajua Australia iko Ulaya na hata Marekani wanasema ni Ulaya.
 
Hili ndilo tatizo kubwa tulilo nalo baadhi ya Watanzania - kubeza beza tu masaa yote!! Mfano: Ni wap i mleta mada amesema kwamba US A na Russia ni majirani - alikuwa a nazungumzia rivally kati ya Ma t a i f a h a y o mawili.

Mbona mleta mada kajieleza vizuri tu kuhusu undumila kuwili wa majirani zetu wa Kenya - hata siku moja hawawezi kututakia mema ha sa katika nyanja za Taifa letu kuinu ka kiuchumi,wanataka Tanzania iw e soko kubwa la bidhaa zao, hawat aki wawekezaji wa Kitanzania kwe nda kuwekeza Kenya, mlimsikia Rostam AzIz alivyo lalamika mbele ya Rais Uhuru Kenyatta,kwamba alinyimwa kibali cha kuwekeza kwenye usindikija wa GESI nchini Kenya!!
Naona watu wengi hawajui kuwa kuwa Russia na USA ni majira, hawa ni majirani wanatenganishwa na arctic , hivi sasa wako wanagombania rasilimali za uko baada ya theleji kuanza kuyeyuka 🎌
 
Back
Top Bottom