fredrick dickson
New Member
- Jun 5, 2013
- 3
- 0
hii ni english ya mwanafunzi bora wa form 4 kutoka shule mojawapo za kata TZ akimwambia MZUNGU ugumu wa kupanda mlima kilimanjaro sababu njia haijanyooka moja kwa moja "SIR! TO PLANT MOUNT KILIMANJARO IS NOT A PRESIDENT JOB BECOZ THE WAY IS NOT SNAKE ONE BY ONE"