Tanzania inahitaji chama kipya makini cha upinzani

Tanzania inahitaji chama kipya makini cha upinzani

Bushesha jr

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2020
Posts
674
Reaction score
690
Ndugu Wana jamvi nimetafakari sana hatma ya nchi yetu endapo CCM itashindwa kusimamia majukumu yake hususani rasilimali za nchi yetu,hii ni kutokana na ukweli kwamba vyama vya upinzani naona havina sera ya ulinzi wa rasilimali wala havijali kabisa.

Aidha sababu nyingine ni kwamba vyama vyetu vya upinzani ni dhaifu mno na havina maono toka aondoke nguli wa siasa na mzalendo wa kweli Dkt. W. Slaa vyama hivi havijawahi kuwa na agenda tena.Vyama hivi vimekisa dira na mbaya zaidi vyama hivi havina agenda ya ulinzi wa rasilimali za nchi yetu.

Wapinzani wamekuwa wakibeza ulinzi wa rasilimali zetu na wanaonekana wazi kuwa kwao ulinzi wa rasilimali za Taifa siyo kipaumbele,tunahitaji na tunaomba wanasiasa wa nchi hii mlete chama mbadala wa CCM na kiwe Cha kizalendo Kama kile cha EFF Cha Julius Malema huko Afrika Kusini.

Tusipofanya hivi Kama Taifa ipo siku tutajikuta katika mtanziko mkubwa tusijue pa kwenda.

Nawatakia tafakuri njema
 
Hivi unakumbuka Dr Slaa alivyokuwa Chadema mlivyokuwa mnambeza? Leo kageuka nguli.

Tanzania haiitaji chama chochote kipya cha upinzani unasikia wewe? Tanzania inahitaji katiba mpya itakayofanya CCM wasibebwe na Tume wala Spika (wa bunge la vyama vingi) asiwe katibu mwenezi wa ccm na mvunja katiba.
 
Ndugu Wana jamvi nimetafakari sana hatma ya nchi yetu endapo CCM itashindwa kusimamia majukumu yake hususani rasilimali za nchi yetu,hii ni kutokana na ukweli kwamba vyama vya upinzani naona havina sera ya ulinzi wa rasilimali wala havijali kabisa...
Wengini tunakiona chama kilicho bora na chenye uelekeo .msiioona shauri yenu. Kama mipango ya kuviuwa vilivyopo ilifanywa kwa juhudi na gharama kubwa vilivyoyumba viliyumba Vibaya, na vilivyo weza nusurika viliimarika sana. Pia nategemea vieendelee kupata uimara katika enzi hizi mpya tulizo nazo.
 
Chadema imegeuka laana kwa nchi yetu.
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo kinatosha
jath.gif
 
Hivi unakumbuka Dr Slaa alivyokuwa Chadema mlivyokuwa mnambeza? Leo kageuka nguli.

Tanzania haiitaji chama chochote kipya cha upinzani unasikia wewe? Tanzania inahitaji katiba mpya itakayofanya CCM wasibebwe na Tume wala Spika (wa bunge la vyama vingi) asiwe katibu mwenezi wa ccm na mvunja katiba.
Ni kweli katiba mpya ni muhimu, maana Watanzania tunahitaji kuwa na uhakika wa ulinzi wa rasilimali au maamuzi mengine makubwa lazima mamlaka ya rais yadhibitiwe.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu Wana jamvi nimetafakari sana hatma ya nchi yetu endapo CCM itashindwa kusimamia majukumu yake hususani rasilimali za nchi yetu,hii ni kutokana na ukweli kwamba vyama vya upinzani naona havina sera ya ulinzi wa rasilimali wala havijali kabisa.

Aidha sababu nyingine ni kwamba vyama vyetu vya upinzani ni dhaifu mno na havina maono toka aondoke nguli wa siasa na mzalendo wa kweli Dkt. W. Slaa vyama hivi havijawahi kuwa na agenda tena.Vyama hivi vimekisa dira na mbaya zaidi vyama hivi havina agenda ya ulinzi wa rasilimali za nchi yetu.

Wapinzani wamekuwa wakibeza ulinzi wa rasilimali zetu na wanaonekana wazi kuwa kwao ulinzi wa rasilimali za Taifa siyo kipaumbele,tunahitaji na tunaomba wanasiasa wa nchi hii mlete chama mbadala wa CCM na kiwe Cha kizalendo Kama kile cha EFF Cha Julius Malema huko Afrika Kusini.

Tusipofanya hivi Kama Taifa ipo siku tutajikuta katika mtanziko mkubwa tusijue pa kwenda.

Nawatakia tafakuri njema
Rasilimali zote ziuzwe ili pesa iwepo mtaani. Vilasilimali vya Nini wakati tunakufa njaa. Bora viuzwe vyote tupate hela.

Kwani virasilimali vinakusaidia nini ukiwa unaviangalia angalia tu. No sawa na kuwa na mwanamke mzuri badala ya kumpeleka akajiuze ili utajirike na umbo lake unakaa unamuangalia tu, ni wendawazimu
 
Ndugu Wana jamvi nimetafakari sana hatma ya nchi yetu endapo CCM itashindwa kusimamia majukumu yake hususani rasilimali za nchi yetu,hii ni kutokana na ukweli kwamba vyama vya upinzani naona havina sera ya ulinzi wa rasilimali wala havijali kabisa.

Aidha sababu nyingine ni kwamba vyama vyetu vya upinzani ni dhaifu mno na havina maono toka aondoke nguli wa siasa na mzalendo wa kweli Dkt. W. Slaa vyama hivi havijawahi kuwa na agenda tena.Vyama hivi vimekisa dira na mbaya zaidi vyama hivi havina agenda ya ulinzi wa rasilimali za nchi yetu.

Wapinzani wamekuwa wakibeza ulinzi wa rasilimali zetu na wanaonekana wazi kuwa kwao ulinzi wa rasilimali za Taifa siyo kipaumbele,tunahitaji na tunaomba wanasiasa wa nchi hii mlete chama mbadala wa CCM na kiwe Cha kizalendo Kama kile cha EFF Cha Julius Malema huko Afrika Kusini.

Tusipofanya hivi Kama Taifa ipo siku tutajikuta katika mtanziko mkubwa tusijue pa kwenda.

Nawatakia tafakuri njema
Yaani nyinyi wasukuma chawa wa mwendazake hamuwezi kuleta hoja za maana hapa?

Hizo hoja zenu za uzalendo uchwara zimetuchosha!
 
Ni kweli katiba mpya ni muhimu, maana Watanzania tunahitaji kuwa na uhakika wa ulinzi wa rasilimali au maamuzi mengine makubwa lazima mamlaka ya rais yadhibitiwe

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Unafiki tu unakusumbua. Mbona wakati Magufuli anatumia vibaya madaraka ya raisi hukusema? Mbona ulinyamaza?
 
Aliyelaaniwa ni yule aliyekuwa anatumia mali za watanzania kuua Chadema na upinzani.

Aliyelaaniwa ni yule aliyekuwa anatumia mali za watanzania kununua wapinzania kutoka Chadema kuwaleta CCM!
Ndiyo maana alikufa kabla ya lengo lake baya kutimia
 
Back
Top Bottom