Tanzania inaendelea kubakia nyuma wakati mataifa mengi ya kiafrika yakipiga mwendo kwenye Demokrasia ya kweli.
Tanzania hakuna Demokrasia ya kweli isipokuwa kuna kiini macho cha Demokrasia au mazingaombwe ya Demokrasia.
Ni Tanzania tu ambako Rais wa nchi ni lazima awe Dokta, yaani mtu anapokuwa Rais wa Tanzania anapewa cheo cha ziada cha Udokta, wakati Rais wa nchi ni mkubwa kwa hadhi Kuliko vyeo vyote, maana yake Baada ya Mungu kwa hadhi anayefuata ni Rais wa nchi.
Lakini kwa Tanzania ni lazima waanze na Dokta, yaani kumwita tu mh Rais wanaona haitoshi.
Senegal Tayari wamepata tena Rais kutoka upinzani huku sisi tukiendelea kuikumbatia CCM, Chama kilichojichokea kabisa na kimekosa Dira ya kuongoza nchi.
CCM ni chama cha watu aina mbili Tu, kundi la kwanza ni watu wanaofaidika na Chama,na kundi la pili ambalo ndo kubwa zaidi ni la mambumbumbu wa kutupwa,ambao akila na kushiba,hata ukimwambia kuwa hii hewa inaletwa na CCM yeye anakubali tu.
Ni Tanzania tu, ambako Rais anapewa kila aina ya sifa na wapambe ili kujikomba.
Ni bora wangefuta kabisa vyama vya upinzani ili wabakie na li CCM Lao Kuliko kuwafanya watu wote hawana akili kabisa.
Yaani inashangaza sana, Tanzania yenye kila kitu kizuri, kuanzia ardhi, Raslimali zote lakini watu wake ni maskini wa kutupwa halafu Chama cha CCM kilichofeli kuongoza nchi eti bado kinawaambia wananchi wakipe ridhaa Tena.
Aisee Tanzania unachefua sana wewe nchi
Hamia south sudanTanzania inaendelea kubakia nyuma wakati mataifa mengi ya kiafrika yakipiga mwendo kwenye Demokrasia ya kweli.
Tanzania hakuna Demokrasia ya kweli isipokuwa kuna kiini macho cha Demokrasia au mazingaombwe ya Demokrasia.
Ni Tanzania tu ambako Rais wa nchi ni lazima awe Dokta, yaani mtu anapokuwa Rais wa Tanzania anapewa cheo cha ziada cha Udokta, wakati Rais wa nchi ni mkubwa kwa hadhi Kuliko vyeo vyote, maana yake Baada ya Mungu kwa hadhi anayefuata ni Rais wa nchi.
Lakini kwa Tanzania ni lazima waanze na Dokta, yaani kumwita tu mh Rais wanaona haitoshi.
Senegal Tayari wamepata tena Rais kutoka upinzani huku sisi tukiendelea kuikumbatia CCM, Chama kilichojichokea kabisa na kimekosa Dira ya kuongoza nchi.
CCM ni chama cha watu aina mbili Tu, kundi la kwanza ni watu wanaofaidika na Chama,na kundi la pili ambalo ndo kubwa zaidi ni la mambumbumbu wa kutupwa,ambao akila na kushiba,hata ukimwambia kuwa hii hewa inaletwa na CCM yeye anakubali tu.
Ni Tanzania tu, ambako Rais anapewa kila aina ya sifa na wapambe ili kujikomba.
Ni bora wangefuta kabisa vyama vya upinzani ili wabakie na li CCM Lao Kuliko kuwafanya watu wote hawana akili kabisa.
Yaani inashangaza sana, Tanzania yenye kila kitu kizuri, kuanzia ardhi, Raslimali zote lakini watu wake ni maskini wa kutupwa halafu Chama cha CCM kilichofeli kuongoza nchi eti bado kinawaambia wananchi wakipe ridhaa Tena.
Aisee Tanzania unachefua sana wewe nchi
Kama ni hivi basi na Tanzania tuna demokrasia yetu.The greatest countries in the world have Democracy , China has Democracy within a single ruling Party, But Tanzania doesn't have within CCM, that's why the late Lowassa was chosen in his CCM Party but Kikwete wrote off his name for his personal interest.
And moreover,put in mind that you can't bring developments in your ownself without having good governance.
Acha wivuTanzania kama nchi kiasili siyo nchi mbaya hata kidogo, tatizo lililopo hapa ni uwepo wa Utawala mbaya na usiofaa. Hilo ndio tatizo lililipo, tatizo hili pia lipo karibia ktk nchi zote za ki-Afrika au nchi zote zenye watu weusi wengi ambao ni watawala ktk nchi hizo.
"Tuliwakataa, tuliwatenga, na kuwaengua kabisa WATU WEUSI kwenye mchakato wa maendeleo ya nchi na ujenzi wake kwa sababu HAWANA AKILI NZURI. Endapo kama tungewajumuisha, basi WANGETUHARIBIA mambo yetu mazuri yaliyopo Afrika ya Kusini leo hii."
Pieter W. Botha, Rais wa zamani wa Afrika ya Kusini enzi za Ubaguzi wa rangi.
[Emphasis is added]
Hupendi kulamba asali?The greatest countries in the world have Democracy , China has Democracy within a single ruling Party, But Tanzania doesn't have within CCM, that's why the late Lowassa was chosen in his CCM Party but Kikwete wrote off his name for his personal interest.
And moreover,put in mind that you can't bring developments in your ownself without having good governance.
Sio rahis hivoKabisa CCM ni kikwazo kikubwa cha maendeleo yetu tuikatae.
Pegeni kelele weeeeSaivi hata ukichagua upinzani wezi wanahamia huko huko wanaenda kusifia tunahitaji sheria za kuwawajibisha au kuwabana viongozi
CCM ni janga CDM ni janga zaidi
Pigeni kelele weeeeKwa kuwa katiba mpya inawapa maanufaa ya viongozi wa chama tawala haitakuwa rahisi kwa wao kuibadilosha katiba hii
Hupendi kulamba asali weweCCM tunaijua sana ni Wezi sasa kuhusu CHADEMA unao ushahidi?
Na bado mpaka wahame nchiHii nchi inasikitisha na kuhuzunisha sana. [emoji3525]
Tulia weweKwa kuwa wa-Tanzania tumezembea kwa kiasi kikubwa sana ktk kuiondoa CCM mapema kutoka madarakani, basi kwa sasa inahitajika KAFARA KUBWA SANA ili kufanikisha Jambo hilo. Tusidanganyane hapa, inahitajika Kafara kubwa nchi hii ili kuondokana na janga hili kubwa lililopo.
Kwani umenyimwa na wewe kuibaViongozi wa ccm walio wengi kazi yao ni kubeba wasudani na WA Ethiopia kwenye ma V8 na kupeperusha bendera ya chama cha mapinduzi huwezi kupata viongozi huko zaidi ya majambazi yanayovaa suti