Tanzania ina macelebrity wa kweli?

Ama kweli zamani JF ilikuwa ya hadhi ya kipekee japo sikuwa nimejiunga.

Watu walikuwa wanaleta mada za maana na michango yenye hadhi na hawakimbilii ku like au kuona likes zina maana kivile.

Mimi nimesoma hizi mada za 2009 na kuona tofauti kubwa sana na za sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom