Tanzania imepata Mama mpenda haki

Tanzania imepata Mama mpenda haki

MANKA MUSA

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2014
Posts
923
Reaction score
1,101
Rais Samia Suluhu anataka kuifanya Tanzania kuwa nyumba ya Haki.

Kutenda haki ni kuwa na akiba ya kesho kila mmoja wetu anatakiwa amthamini mwenzake na kumpatia haki anayostahili.

Rais Samia ana amini kabisa katika nafasi ya uongozi ni kutanguliza hekima kwanza Ili aweze kufanikiwa kujenga jamii yenye Haki na Uadilifu.

Rais Samia anataka kuona haki inatendeka kwa Raia wote, hapendi kuona haki inakuwa bidhaa adimu nchini.

Mambo aliyoyafanya kusimamia haki ni pamoja na

- Mtu hatakiwi kukamatwa na kupelekwa mahakamani bila upelelezi kukamilika. Hii itasaidia kupunguza milundikano ya watu katika mahabusu zetu.

- Upelelezi usizidi siku nne.

- Haki za wafungwa katika kupata chakula, mavazi na matibabu. Hawa pia ni wanadamu wanahitaji kupewa haki. Kipindi cha nyuma tulishuhudia kauli za kuogofya wafungwa wapewe kazi ngumu na kupigwa mateke.

- Haki za Watoto wadogo dhidi ya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia kuruhusu watoto wakike waliopata ujauzito kuendelea na masomo.

- Vyombo vya usalama kupunguza kubambikia watu kesi. Hili ni eneo la uporaji wa Haki Rais Samia amekuwa akilikemea kwa nguvu zote.

- Kukataa Rushwa na vitendo vyote vinavyosababisha ukandamizaji wa Haki.

Haki huinua Taifa!! Tumuunge mkono Rais Samia kwenye kusimamia na kutoa haki inaanzia kwenye ngazi ya familia kila mmoja ana wajibu wa kuifanya Tanzania kuwa nyumba ya haki.
 
Ila waliofanya iyo haki ipotee na kuharibika ni hao hao CCM

Serikali ya Magufuli umesahau waligawana madaraka na serikali ya Makonda na Sabaya.

Magufuli akiwafunga wasio na hatia

Sabaya akivuruga Biashara za Kaskazini kwa kuvamia na kikosi cha wahuni.

Makonda akivamia vituo vya habari na kuwapora wafanyabiashara mali zao.

Haki ingetoka wapi wakati Jiwe alitamani kuwa kiongozi Mkuu wa Malaika.
 
Rais Samia Suluhu anataka kuifanya Tanzania kuwa nyumba ya Haki.

Kutenda haki ni kuwa na akiba ya kesho kila mmoja wetu anatakiwa amthamini mwenzake na kumpatia haki anayostahili.

Rais Samia ana amini kabisa katika nafasi ya uongozi ni kutanguliza hekima kwanza Ili aweze kufanikiwa kujenga jamii yenye Haki na Uadilifu.

Rais Samia anataka kuona haki inatendeka kwa Raia wote, hapendi kuona haki inakuwa bidhaa adimu nchini.

Mambo aliyoyafanya kusimamia haki ni pamoja na

- Mtu hatakiwi kukamatwa na kupelekwa mahakamani bila upelelezi kukamilika. Hii itasaidia kupunguza milundikano ya watu katika mahabusu zetu.

- Upelelezi usizidi siku nne.

- Haki za wafungwa katika kupata chakula, mavazi na matibabu. Hawa pia ni wanadamu wanahitaji kupewa haki. Kipindi cha nyuma tulishuhudia kauli za kuogofya wafungwa wapewe kazi ngumu na kupigwa mateke.

- Haki za Watoto wadogo dhidi ya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia kuruhusu watoto wakike waliopata ujauzito kuendelea na masomo.

- Vyombo vya usalama kupunguza kubambikia watu kesi. Hili ni eneo la uporaji wa Haki Rais Samia amekuwa akilikemea kwa nguvu zote.

- Kukataa Rushwa na vitendo vyote vinavyosababisha ukandamizaji wa Haki.

Haki huinua Taifa!! Tumuunge mkono Rais Samia kwenye kusimamia na kutoa haki inaanzia kwenye ngazi ya familia kila mmoja ana wajibu wa kuifanya Tanzania kuwa nyumba ya haki.
Unachekesha
 
Angetaka kiki angemfunga Mpwa wa Magufuli Dotto James, angetaifisha mali za Mfugale.

Watu wenye haki uacha Wakati uamuru.
Unajua nini maana ya haki?
Na unajua nani anayetoa haki?

Vijisenti vya Chama visikutoe utu , sizani hata asubuh kama umekumbuka kusali au ndo umeamka kama Ng'ombe
 
Unajua nini maana ya haki?
Na unajua nani anayetoa haki?

Vijisenti vya Chama visikutoe utu , sizani hata asubuh kama umekumbuka kusali au ndo umeamka kama Ng'ombe

Ukiamka Wewe kama ng’ombe inatosha mwalimu wa somo la haki.
 
Rais Samia Suluhu anataka kuifanya Tanzania kuwa nyumba ya Haki.

Kutenda haki ni kuwa na akiba ya kesho kila mmoja wetu anatakiwa amthamini mwenzake na kumpatia haki anayostahili.

Rais Samia ana amini kabisa katika nafasi ya uongozi ni kutanguliza hekima kwanza Ili aweze kufanikiwa kujenga jamii yenye Haki na Uadilifu.

Rais Samia anataka kuona haki inatendeka kwa Raia wote, hapendi kuona haki inakuwa bidhaa adimu nchini.

Mambo aliyoyafanya kusimamia haki ni pamoja na

- Mtu hatakiwi kukamatwa na kupelekwa mahakamani bila upelelezi kukamilika. Hii itasaidia kupunguza milundikano ya watu katika mahabusu zetu.

- Upelelezi usizidi siku nne.

- Haki za wafungwa katika kupata chakula, mavazi na matibabu. Hawa pia ni wanadamu wanahitaji kupewa haki. Kipindi cha nyuma tulishuhudia kauli za kuogofya wafungwa wapewe kazi ngumu na kupigwa mateke.

- Haki za Watoto wadogo dhidi ya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia kuruhusu watoto wakike waliopata ujauzito kuendelea na masomo.

- Vyombo vya usalama kupunguza kubambikia watu kesi. Hili ni eneo la uporaji wa Haki Rais Samia amekuwa akilikemea kwa nguvu zote.

- Kukataa Rushwa na vitendo vyote vinavyosababisha ukandamizaji wa Haki.

Haki huinua Taifa!! Tumuunge mkono Rais Samia kwenye kusimamia na kutoa haki inaanzia kwenye ngazi ya familia kila mmoja ana wajibu wa kuifanya Tanzania kuwa nyumba ya haki.
Hapa ndipo ilipo tofauti ya JPM na SSH. Magufuli alisema hawa waungwana wapigwa mateke lakini Samia anakuja na mtazamo mwingine wenye ubinadamu mwingi sana.

Nyakurungu aje apate kitu fulani kipya katika uzi huu, ajifunze kumpima kiongozi mkuu kwa vigezo vingi. Urais unapimwa ufanisi wake kwa kutazama namna rais anavyotatua matatizo mengi kwa wakati mmoja.
 
kupunguza kubambikia watu kesi
KUPUNGUZA?!
cosbyhmm (1).png
 
Back
Top Bottom