Tanzania: Hii tabia itaisha lini?

Akili Unazo!

JF-Expert Member
Feb 18, 2009
3,930
4,893
Leo nimesikitisha na tabia mabayo nilitegemea imekoma/kwisha kabisa baada ya shilika la Reli kubinafsishwa wakati nipokuwa nimeenda kukata ticket kwenda mikoani.

mara tu niliporejea na kufika kaunta nikamwambia mhudumu kuwa nimekuja kufanya booking ya usafari wa ijumaa yaani tarehe 17/07/2009.Mara yule mhudumu akaniambia kuwa hakuna nafasi basi ikbidi nimuulize sasa utanisaidiaje kwa kuwa ni mdogo wangu anaenda shule aliposikia kuwa ni mwanafunzi akaniambia kuwa leta hela ya nauli nikampa na akanipa tiketi.

Dukuduku langu kuwa hakuna kumhudumia mtu mpaka umzungushe ili umuweke kwenye mazingira ya kutoa chochote?
 
Kyakya nilipojiunga hapa jina lako lilinifanya nijiulize yaani avator pia
 
Leo nimesikitisha na tabia mabayo nilitegemea imekoma/kwisha kabisa baada ya shilika la Reli kubinafsishwa wakati nipokuwa nimeenda kukata ticket kwenda mikoani.

mara tu niliporejea na kufika kaunta nikamwambia mhudumu kuwa nimekuja kufanya booking ya usafari wa ijumaa yaani tarehe 17/07/2009.Mara yule mhudumu akaniambia kuwa hakuna nafasi basi ikbidi nimuulize sasa utanisaidiaje kwa kuwa ni mdogo wangu anaenda shule aliposikia kuwa ni mwanafunzi akaniambia kuwa leta hela ya nauli nikampa na akanipa tiketi.

Dukuduku langu kuwa hakuna kumhudumia mtu mpaka umzungushe ili umuweke kwenye mazingira ya kutoa chochote?

Pole sana, litaisha iwapo mtu akikumbana nalo hakai nalo bali kama hivi ulivyoripoti wengine hulipa cha juu na kukaa kimya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom