mtweve
Member
- Mar 28, 2009
- 96
- 8
Kama vitu kwa mtazamo wangu havihitajiki katika nchi hii ya tanzania ni kuwa na mfumo wa serikali kupatikana kwa njia ya demokrasia.Najua nitapingana na wengi labda wakidhani kama hakuna demokrasia basi mbadala wake ni udikteta! zipo aina nyingi sana za serikali,labda tu kwa kuwa kumbusha kuna MONARCHY, ARISTOCRCY, FEDERATION, TYRANY nk.
Ngoja niseme hivi,mfumo huu ambao leo karibu Africa nzima tunaushabikia ulianzia Ugiriki.Kwa wao demokrasia ilimaanisha WATU WOTE waruhusiwe kufanya maamuzi yanayohusu jamii husika.Abraham Lincolin anasema demokrasia ni serikili ya watu.iliyotokana na watu, kwaajili ya watu.
Hapa ndipo penye tatizo lenyewe,watu hawa ni akina nani? Je kila mtu ni mbele ya demokrasia? kama ndiyo, kwa nini mwingine anaruhusiwa kupiga kura na mwingine haruhusiwi? au kwa nini hakuna mgombea binafsi?
Muda mwingine huwa najiuliza ni watanzania wangapi wanajua maana halisi ya demokrasia? Hivi kweli mtu anaweza kuendesha gari bila hta kufundishwa au kujifunza mwenyewe? Hizi ni ndoto za mchana huku unatembea! Hapa ndipo unaona watu wanachagua chama na si kiongozi bora, kwasababu hawajui wajibu wao. Marekani nchi inayotajwa kuwa juu kidemokrasi ni WATU 534 tu ndio wanopiga kura kuchagua raisi pamoja na kuwa na watu zaidi ya bilioni 1.
Kama tunataka mendeleo basi tuwaachie wasomi na watu wengine wenye upeo wakachagua badala ya watu ambao hawjua kutuchaglia watu hivyo,la sivyi tuishi kwa mfumo wa kifalme.
Tukiendlea hivi tutaendelea kuwaweka mafisadi madarakani
Ngoja niseme hivi,mfumo huu ambao leo karibu Africa nzima tunaushabikia ulianzia Ugiriki.Kwa wao demokrasia ilimaanisha WATU WOTE waruhusiwe kufanya maamuzi yanayohusu jamii husika.Abraham Lincolin anasema demokrasia ni serikili ya watu.iliyotokana na watu, kwaajili ya watu.
Hapa ndipo penye tatizo lenyewe,watu hawa ni akina nani? Je kila mtu ni mbele ya demokrasia? kama ndiyo, kwa nini mwingine anaruhusiwa kupiga kura na mwingine haruhusiwi? au kwa nini hakuna mgombea binafsi?
Muda mwingine huwa najiuliza ni watanzania wangapi wanajua maana halisi ya demokrasia? Hivi kweli mtu anaweza kuendesha gari bila hta kufundishwa au kujifunza mwenyewe? Hizi ni ndoto za mchana huku unatembea! Hapa ndipo unaona watu wanachagua chama na si kiongozi bora, kwasababu hawajui wajibu wao. Marekani nchi inayotajwa kuwa juu kidemokrasi ni WATU 534 tu ndio wanopiga kura kuchagua raisi pamoja na kuwa na watu zaidi ya bilioni 1.
Kama tunataka mendeleo basi tuwaachie wasomi na watu wengine wenye upeo wakachagua badala ya watu ambao hawjua kutuchaglia watu hivyo,la sivyi tuishi kwa mfumo wa kifalme.
Tukiendlea hivi tutaendelea kuwaweka mafisadi madarakani