Tanzania haitakuja kuendelea kamwe

Kijana Wa Makamo

JF-Expert Member
Oct 10, 2015
212
116
Sababu pelekezi kwa nchi hii kutoendelea kamwe kwa sababu zifuatazo, Unafiki, hatukubali kukaa chini nakujitathmini ili tuanze kujijenga upya (kwa ajili ya generation zijazo na si tuliopo sasa), na hicho ndio kitu ambacho hatutakaa tufanye kamwe.

Tunaigiziana tu, mfano mdogo tu,Tanzania hatumo kwenye transparent democracy practice, hatumo kwenye dictatorship, hatumo kwenye Anarchy state, kwa kifupi tunaishi kama hatu-exist. (KAMWE HUWEZI KWENDA MAHALI PASIPO KUCHAGUA PAKWENDA,ALAFU KUPANGA NJIA UTAKAYOTUMIA,WAKATI WAKWENDA .NK.

Nchi kama nchi haina proper strategic plans ili tuendelee, Tanzania tuna tatizo kubwa la POLICIES MBOVU na zisizo reward ipasavyo specificly (policies zilizopo ziko too general). Nchi inaongozwa kwa ilani ya chama ingawa si kitu kibaya endapo ( ilani hizo za chama tawala zingekuwa katika master plan bora) kwa mfano kila baada ya 5yrs hadi 10yrs kila anaeongoza chama na nchi anakuja na mapya yake hatimaye kunakuwa hakuna mwelekeo chanya kwa nchi, mfumo mbovu wa elimu ambao hauleti marejesho chanya au lengwa kwa taifa ( swala la elimu si ile ya darasani tu, nikuanzia ngazi ya familia kuhusu mambo ya shule au elimu dunia), hakuna nia mathubuti na yakihalisia kutaka iendeleza nchi...
Nawasilisha
 
Well narrated, kama ulivyo huamini basi mm siamini zaidi yako...ukweli ni kuwa hakuna kitu kinachoifanya nchi hii iendelee zaidi ya kamali..kutupa ndoana mtoni na kusubiri samaki anase..akinasa tunajisifu sisi wavuvi wazuri. the era of trial and error is OVER
 
Well narrated, kama ulivyo huamini basi mm siamini zaidi yako...ukweli ni kuwa hakuna kitu kinachoifanya nchi hii iendelee zaidi ya kamali..kutupa ndoana mtoni na kusubiri samaki anase..akinasa tunajisifu sisi wavuvi wazuri. the era of trial and error is OVER
Tatizo letu ni trials tu hata katika maswala yanayohitaji mpangilio sahihi na ulio bora ili kupata matokeo chanya
 
Kama hujui unapoenda, barabara yeyote itakufikisha
 
Mafanikio yeyote yana njia mbili tu
1 Working together kama team
2 Talking risk au kuchukua maamuzi magumu

Kwa Tanganyika options number moja haiwezi kufanya kazi kwani wajuaji ni wengi tumejikuta wakosoaji ni wengi kuliko washauri

Kiongozi mkuu wa Tanganyika ana options mbili tu za kufanya

1 Kuzigeuza smartphone zetu kuwa Nokia za touch yani kazi yake kuwa ni kupiga na kupokea simu na msg (TXT) tu

2 Au yeye kutumia Nokia ya touch na kito kusoma au kusiliza vyombo vya habari ambazo anadhani vinaweza kumchanganya
Kazi ya kusikiliza au kufatilia taarifa au habari wafanye TISS yeye afanye kazi tu
 
Mafundisho ya kilokole ya kufanikiwa kimiujiza na tabia za kuombaomba zimeadhiri asilimia kubwa ya wa-TZ! Matapeli ya kidini yameongeza siku na masaa ya kupoteza muda ktk ibada! Haya ukichanganya na uwezo mdogo wa kutumia "brain, what do you expect"! "Positve Attitude + Brain Power + Hard Work = Development"!
 
Back
Top Bottom