Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,582
- 6,627
Taarifa ya mwaka 2017 iliyotolewa na Reporters Without Borders(RST) kuhusu World Press Freedom Index inaonyesha Tanzania bado inaongoza katika uhuru wa vyombo vya habari ukilinganisha na nchi nyingine tano za Jumuiya ya Afrika Mashariki ingawa imeporomoka vibaya kwa nafasi kumi na mbili(12).
Tanzania imeshika nafasi ya 83 na kwa Afrika Mashariki inafuatiwa na Kenya inayoshika nafasi ya 95, Uganda ikishika nafasi ya 112, South Sudan 145, Rwanda inashika nafasi ya 159 huku Burundi ikishika nafasi ya mwisho katika EAC kwa kuwa katika nafasi ya 160 ambayo inajulikana kama black zone/very bad.
Awali, Tanzania ilikuwa katika nafasi hizi:
2016 - nafasi ya 71, 2015 - nafasi ya 75, 2014 - nafasi ya 69, 2013 - nafsi ya 70, 2012 - nafasi ya 34 na 2011 - nafasi ya 41
Kwa Afrika, nchi ya Namibia inaongoza kwa kushika nafasi ya 24 ikifuatiwa na Ghana katika nafasi ya 26 huku South Afrika ikishika nafasi ya 31.
Kwa dunia, nchi ya Norway inaongoza ikifuatiwa na Sweden katika nafasi ya 2, Uingereza inashika nafasi ya 40 huku Marekani ikishika nafasi ya 43. Kwa maana nyingine, nchi za Namibia, Ghana na Afrika Kusini zina uhuru wa kujieleza zaidi ya Uingereza na Marekani.
Kwa maelezo zaidi gonga na usome hapa World Press Freedom Index 2017
Tanzania imeshika nafasi ya 83 na kwa Afrika Mashariki inafuatiwa na Kenya inayoshika nafasi ya 95, Uganda ikishika nafasi ya 112, South Sudan 145, Rwanda inashika nafasi ya 159 huku Burundi ikishika nafasi ya mwisho katika EAC kwa kuwa katika nafasi ya 160 ambayo inajulikana kama black zone/very bad.
Awali, Tanzania ilikuwa katika nafasi hizi:
2016 - nafasi ya 71, 2015 - nafasi ya 75, 2014 - nafasi ya 69, 2013 - nafsi ya 70, 2012 - nafasi ya 34 na 2011 - nafasi ya 41
Kwa Afrika, nchi ya Namibia inaongoza kwa kushika nafasi ya 24 ikifuatiwa na Ghana katika nafasi ya 26 huku South Afrika ikishika nafasi ya 31.
Kwa dunia, nchi ya Norway inaongoza ikifuatiwa na Sweden katika nafasi ya 2, Uingereza inashika nafasi ya 40 huku Marekani ikishika nafasi ya 43. Kwa maana nyingine, nchi za Namibia, Ghana na Afrika Kusini zina uhuru wa kujieleza zaidi ya Uingereza na Marekani.
Kwa maelezo zaidi gonga na usome hapa World Press Freedom Index 2017
Reporters Without Borders (RSF) has released the 2017 World Press Freedom Index that shows an increase in the number of countries where media freedom has declined.
A statement from RSF says the World Press Freedom map is getting darker and media freedom is under threat now more than ever. A total of 21 countries are now colored black on the press freedom map because the situation there is classified as “very bad.” Of these, Burundi,s ranked 160th out of 180 in the 2017 Index has been added to the black zone.
In 2015 President Pierre Nkurunziza launched a fierce crackdown against media outlets that covered a coup attempt after his decision to run for a third term. RSF reports that Burundi is now locked in a crisis and media freedom is dying. Charged with supporting the coup, dozens of journalists have fled into exile. For those that remain, the report says, working is almost impossible without toeing the government line.
Another East African country, Tanzania, also saw a decline in media freedoms in 2016. The 2017 index places it in 83rd place, down 12 points from the previous year. This decline is attributed to frequent threats, attacks and arrests of journalists and the heavy hand of President John Magufuli, who according to the report, “tolerates no criticism of himself or his programme”. Additionally, newly passed laws like the Cyber Security Act, the Media Services Act and the Statistics Act criminalise the dissemination of information.
Uganda’s position in the Index has also dropped considerably. It went from 102nd place in 2016 to 112 in the 2017 Index. The RSF report blames this on regular intimidation and violence against journalists, and serious media freedom violations in the 2016 general election.
Neighbouring Kenya remained in 95th place on the Index, but there are concerns about the slow erosion of media freedoms there. The RSF report found that as Kenya prepares for general elections in August 2017, many independent journalists have been the targets of threats and attacks by both the public and the authorities.
Rwanda is the only East African country that had an improvement in its World Press Freedom Index rankings, moving up two points to the 159th place. However censorship and self-censorship are commonplace in Rwanda despite a new media law that was passed in 2010.
SOURCE: Africa Centre for Media Excellence