Serikal inadai haina pesa wakat wanaongeza posho kwa wabunge?Na km ukwel kwa mujbu wa tangazo la T.R.A,tena wamempa muuza sura maarufu nchin JK,na anasema hv;kila unaponunua k2 chochote chenye vat unalpa kodi,sasa hzo kod za kila cku harafu bado wanadai haina hela.