pojore
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 474
- 1,679
Habari wana jamvi,leo nina dodoso kama ifuatavyo:kutokana na awamu hii kuwa na changamoto zake nyingi sana ambazo kwa uhalisia wengi wetu tumeguswa sana kwa namna yoyote ile.Lakini ukweli utabaki palepale kwamba kwa rais ajaye lazima avae tu mikoba mema aliyoicha Magufuli hivyo bila kufichana chochote ninahitaji mawazo kutoka kwenu kwamba baada ya awamu ya Magufuli Tanzania yetu itakuwa katika hali ipi kwa kuzingatia nyanja mbalimbali?