Tanzania: Authorities drafting another law targeting the Cyberspace

So it is in accordance of international communication union to block all US based sites and applications as Google,youtube,or facebook? Msiige tu kila kitu bila kuelewa maudhui yake! Rafiki wa adui yako si lazima awe adui yako!

Wapi wamesema wanataka kufanya hayo uliyoandika!?
Jisikitikie kwa udaku... soma tena uelewe au jipige vibao vya usoni.. ha ha haaa
 
The law is highly beneficial in our jurisdiction
 
Muda siyo mrefu tutanyongwa

JPM KAMATA WEZI
 
CCM ni laana tupu
 
Matembezi ya kuunga mkono azimio la Arusha ni lini?
maana naona tukipiga hatua tano mbele tunarudi hatua sita nyuma!!
 
Hatimae wale malaika wa kuzima mitandao wamepatikana .
 

Uongo wanaojidanganya viongozi wa China ndio wanataka kuuleta hapa, eti wachina wanasifia nchi yao??

kama unajua kichina nenda mitaani kwao kaongee nao utasikia wanavyotukana.

Ile sio peace and harmony ule ni uoga, ndio maana kila wakipata upenyo wanahama nchi yao, wamejaa kila kona ya dunia, yaani bora waje Africa kuumwa mbu na kuuza kariakoo kuliko kukaa kwenye li nchi lao la kidikteta na kinafki.

Wanataka kulinganisha Tanzania na nchi kama Rwanda na China ambazo zimebanwa tangu kabla ya face book!?? yaani kwa kifupi hawajui utamu wa facebook, twitter, instagram wala you tube.

Mitandao ya kichina Wechat sijui Youku ina fanikiwa kwa vile watu wao ni weeengi. sisi huku wataweka mtandao gani wa taifa wakati watumiaji wenyewe wa social media hata milioni 5 hatufiki!

Vitu vingine yaani hata kuongea zaidi mtu unashindwa....hivi madaraka matamu kiasi gani????? inaonekana kuna watu wanataka madaraka ya milele.
 
You people of Tanzania, listen up: You are becoming the property of the PRC very soon than later, period!!!!
 

Naomba wakalimani mkuje huku , maana hizo haya tatu zimenichanganya.
Msaada tafadhali

Cc. [TAG]cocochanel[/TAG]
 
Kama serikali haina mpango wa kimiya uhuru wa kuongea basi sinaa la kuchangia zaidi ya kusema kwamba. Nchi nyingi zinazojitambua duniani zinakimbia kufanya kazi za security ya nchi na China hasa kwenye mambo ya IT. Well, Kwani tutafungiwa mitambo ya ku monitor all aspect of communication ways. Lakini tambua ya kuwa Wachina watakuwa wanajua kila tunacho plan kupitia mitambo yao. Ni bora Serikali ingekusanya wataalamu wazawa na kufanya hii kazi ya security .
 
Nguvu yote hii ya nini na kwa faida ya nani? Hizi nguvu na resources zote kwanini tusingezielekeza katika kuboresha maisha ya watanzania jamani?
 
Hawa jamaa kwa namna walivyokwisha minya uhuru wa kujieleza kwenye mitandao wameona haitoshi..
Ipo siku wanaweza kuizima kabisa walivyo wakatili.
kiukweli ni bora wangeizima tu jumla kuliko shida wanayotupatia sasa. yani unaedit post mara 7 ndio uipost kisa 'itatafsiriwaje na wale'. sio fare kwa kweli.
 
ITS FOR OUR FUTURE SECURITY OF OUR NATION,CULTURE,AND COMMUNITY IN TOTAL.........
 
hakuna aja ya kuedit 7 times,kua makini na unachotaka kupost...hukatazwi kusalimiana,kupeana taarifa,kutumiana picha BUT sio kupost porns,au chatting to harm someone au uharifu wowote
 
haujazuiliwa kuwasiliana kwa huru na haki,cha msingi fuata sheria na taratibu ili uwasiliane salama
 
MATUMIZI BORA YA MTANDAO KIMAENDELEO YA TAIFA LETU,ULINZA WA MAWASIRIANO YETU PAMOJA NA DATA ZETU NI MUHIMU KWA NCHI YETU. Personal Data Protection Act ITATUSAIDIA WATANZANIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…