Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Ndio za kibongobongo hizo.
Ili mradi jamaa aonekana yupo kazini, ana kazi muhimu LOL
Yaani, sasa hapo analinda nini?
Ama kweli, "mjinga ndio aliwaye"
ujima huuSi mnajua kuwa tunishi kijima. Huu ni utumwa kwani ofisini kwa Rais ikulu anaweza kuingia assasin bila ya kuonekana? Mbona hana hata rungu.
ni vizuri kujadili kitu ambacho unakifahamu, ninachojua ni kwamba huyo si mlinzi wa rais ila ana kazi nyingine tofauti na ulinzi.
anakaliman nini?Kwi kwi kwiiii labda mkalimani mweeeh!