baba BillG New Member Joined Dec 21, 2012 Posts 3 Reaction score 0 Jan 24, 2013 #1 Wadau vp, Nafasi zilizotangazwa za TANROADS mbona Morogoro ndiyo wameishaita kwa ajili ya usahili, hawa jamaa wengine wa Dodoma, Lindi, Mtwara, n.k mbona kimya? Tupasheni kama kuna mdau ana habari kuhusu hawa jamaa.
Wadau vp, Nafasi zilizotangazwa za TANROADS mbona Morogoro ndiyo wameishaita kwa ajili ya usahili, hawa jamaa wengine wa Dodoma, Lindi, Mtwara, n.k mbona kimya? Tupasheni kama kuna mdau ana habari kuhusu hawa jamaa.
M Morick Senior Member Joined Dec 11, 2012 Posts 114 Reaction score 17 Jan 24, 2013 #2 lindi na dodoma siku nyingi wametoa na kuna mtu aliweka hapahapa jamviin
baba BillG New Member Joined Dec 21, 2012 Posts 3 Reaction score 0 Jan 24, 2013 Thread starter #3 Basi ckubahatika kufahamu hilo. Asante kwa taarifa