TANROADS mnajenga barabara lakini hamna jengo

TANROADS mnajenga barabara lakini hamna jengo

Mleta mada kazungumza jambo la msingi gharama za pango ni ghali sana,wanaopinga wana akili za kumbikumbi..by the way TANROADS makao makuu karibu watahamia kwenye jengo lao pale Dodoma
 
Nawewe umejiona umepost sio. Kwani TANROADS ilianzishwa lini? Lengo lake ni nini? Je ipo na income? Huwa inapata wapi pesa? Ukiyajibu maswali hayo utakuwa umejijibu
umekuwa chizi nini? yaani kukaa kwenye nyumba za kupangisha kwa garama kubwa ya kodi yetu niyakushangilia kweli fala wewe? mbona tanroads offices za mikoani zina majengo yake. tuondolee ubwege wako hapa lofa na mpumbavu wewe.
 
Inasikitisha mabilioni yanateketea kwenye kodi pale TANROADS HQ Waikato wangeweza hata kujenga ghorofa kubwa zaidi ya hilo Magomeni Quarters na kukaribisha taasisi nyingine za serikali
 
Mmmmh mi c mchangiaji sana wA thread km hzi ila kwa hili nimeamin kuna wtu ni vilaza sana!!kupanga na kujenga mtu anashabikia kupanga???aisee hta mbuzi hana akili hzi,magu anakz nzito!!!!!
 
Fikiria mpaka mzee wa Upako ana jengo lake iweje TANROADS HQ wakose?
 
Hapa kuna hoja ya msingi, kwanini wasiwe katika majengo ya tba au nhc? Wanashindwa nini kujenga jengo lao na wakapangisha idara zingine za serikali?
 
nyie nae kama wapuuze same people walikua anadis hapa makonda kufanya ukarabati wa ofc same people walikua wanadis nyumba za serekali kuuzwa kwakua zilikua magofu hao hao wanaanza kusema tanroad wajenge n ma sure wakijenda same people wataanza kusema hizo ni baranara ngapi za lami?we unashangaa tanroad ni wakala kikosa jengo zuri ila chadema waliokua wanahitaji na kuwa na matumaini ya kuchukua nchi kwa asilimia 95 hawana office wamepanga?

Hata kama wangefanyia kazi chini ya mti ila output zao si zinaonekana shida nn?nilitegemea ungesema mahakama ambazo nyingi mvua zikinyesha mahakimu wanaloana na mvua majengo .

wanafaulu?na wengine wanasomea chini ya mti.
 
Kama wanaweza kulipa kodi ya 2bil. wanashindwaje kujenga ofisi ya 1b??? Usimkoromee amesema kitu cha maana toka wamepanga jengo lile makao makuu ya airtel walipa Tsh. bil ngapi kwani wangejenga hizo fedha zingine wangefanya mambo mengine.


CDA -dodoma imetenga maeneo mengi kwa taasisi za serikali.
 
Nchi hii inataka kujitoa hasa. MUNGU akulinde Rais wetu utumbue majipu yote kwa ajili ya mustakabali wa vizazi vijavyo
 
Nawewe umejiona umepost sio. Kwani TANROADS ilianzishwa lini? Lengo lake ni nini? Je ipo na income? Huwa inapata wapi pesa? Ukiyajibu maswali hayo utakuwa umejijibu
Tanroads ilianzishwa miaka ya mwanzo ya 2000. Lengo kusimamia barabara kuu nchini. Income yao inatoka kwenye road licenses, weigh bridges na subsidiaries from government. TBA wanajenga nyumba za serikali na taasisi zake.
 
Tanroads ilianzishwa miaka ya mwanzo ya 2000. Lengo kusimamia barabara kuu nchini. Income yao inatoka kwenye road licenses, weigh bridges na subsidiaries from government. TBA wanajenga nyumba za serikali na taasisi zake.
Ingekuwa vyema akawahoji TBA kwanini hawajengi ofsi za TANROADS.
 
nyie nae kama wapuuze same people walikua anadis hapa makonda kufanya ukarabati wa ofc same people walikua wanadis nyumba za serekali kuuzwa kwakua zilikua magofu hao hao wanaanza kusema tanroad wajenge n ma sure wakijenda same people wataanza kusema hizo ni baranara ngapi za lami?we unashangaa tanroad ni wakala kikosa jengo zuri ila chadema waliokua wanahitaji na kuwa na matumaini ya kuchukua nchi kwa asilimia 95 hawana office wamepanga?

Hata kama wangefanyia kazi chini ya mti ila output zao si zinaonekana shida nn?nilitegemea ungesema mahakama ambazo nyingi mvua zikinyesha mahakimu wanaloana na mvua majengo .

wanafaulu?na wengine wanasomea chini ya mti.
Pumba contribution!
 
TANROADS mnanunua magari ya kifahari tu lakini jengo lenu hamna. Jiongezeni au mpaka mtumbuliwe?
 
Kuna mchizi alitoa amri livunjwe huku anacheka cheka hivi! Atalirukia na la tanesko, subiri mwezi mwandamo.
 
Jengo linajengwa Makao makuu dodoma katika kiwanja chenye 80,000 sq.m
 
Back
Top Bottom