fungi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 2,539
- 4,672
1.World war II
Vita hii iliyotokea kati ya 1939 na 1945. Ndio vita iliyopelekea vifo vingi zaidi katika historia ya dunia. Zaidi ya watu mil 70 walidhurika(vifo na ulemavu).
Vita hii ilihusisha mataifa makubwa yote duniani na ni vita pekee ambapo bomu la nyuklia lilitumika pale Marekani walipoipiga miji miwili ya Japan ya Hiroshima na Nagasaki.
Tukio kubwa zaidi kweny vita hii ni lile la mauaji ya waisrael zaid ya mil 6 lilofanywa na kikund cha Nazi kilichokuwa kikiongozwa na Adolf Hitler.
Vita ya pili ya dunia ilipelekea hali ya siasa ya dunia kubadilika kabisa na kuundwa kwa umoja wa mataifa,UN.
2.Mongol conquests
Hii ni vita iliyopiganwa mwanzoni mwa karne ya 13, Himaya ya Mongol ilichukua 20% ya eneo la dunia, himaya hii ilikuwa ikienea Asia na Ulaya Mashariki. Machafuko haya yalipelekea vifo vya watu mil 60 mpaka 70, inakadiriwa zaid ya wachina laki moja walijiua wenyewe kabla ya Mongolians kufika eneo lao.
3.World war I
Vita hii ilipiganwa kati ya 1914 na 1918, ilisababish vifo vya watu mil 17. Vita hii pia ilibadilisha mwenendo wa kisiasa wa dunia pia kupelekea kuundwa kwa League of Nations.
4.The Manchu conquest of China
Vita hii ilikuwa kati ya Qing dynasty na Ming dynasty. Ilipiganwa karne ya 17 na ilichukua miaka 60 kuisha. Ilipelekea vifo vya watu milion 25, kikundi cha Qing dynasty kiliibuka na ushindi na kupelekea kuiongoza China mpaka mwanzoni wa miaka ya 1900 pale Jamhuri ya watu wa China ilipoundwa.
5.Napoleonic wars
Vita hii iliyochangiwa na mapinduzi ya Ufaransa ya mwaka 1789, ilikuwa ni vita iliyotangazwa na mataifa ya Ulaya yaliyopinga utawala wa Napoleonic Ufaransa. Ufaransa lilikuwa taifa kubwa baada ya Napoleon kutwaa sehemu kubwa ya Ulaya. Mpaka baada ya kupigwa na Urusi 1812 mapigano yaliyosababisha mauaji ya watu mil 6 na nusu.
Vita hii iliyotokea kati ya 1939 na 1945. Ndio vita iliyopelekea vifo vingi zaidi katika historia ya dunia. Zaidi ya watu mil 70 walidhurika(vifo na ulemavu).
Vita hii ilihusisha mataifa makubwa yote duniani na ni vita pekee ambapo bomu la nyuklia lilitumika pale Marekani walipoipiga miji miwili ya Japan ya Hiroshima na Nagasaki.
Tukio kubwa zaidi kweny vita hii ni lile la mauaji ya waisrael zaid ya mil 6 lilofanywa na kikund cha Nazi kilichokuwa kikiongozwa na Adolf Hitler.
Vita ya pili ya dunia ilipelekea hali ya siasa ya dunia kubadilika kabisa na kuundwa kwa umoja wa mataifa,UN.
2.Mongol conquests
Hii ni vita iliyopiganwa mwanzoni mwa karne ya 13, Himaya ya Mongol ilichukua 20% ya eneo la dunia, himaya hii ilikuwa ikienea Asia na Ulaya Mashariki. Machafuko haya yalipelekea vifo vya watu mil 60 mpaka 70, inakadiriwa zaid ya wachina laki moja walijiua wenyewe kabla ya Mongolians kufika eneo lao.
3.World war I
Vita hii ilipiganwa kati ya 1914 na 1918, ilisababish vifo vya watu mil 17. Vita hii pia ilibadilisha mwenendo wa kisiasa wa dunia pia kupelekea kuundwa kwa League of Nations.
4.The Manchu conquest of China
Vita hii ilikuwa kati ya Qing dynasty na Ming dynasty. Ilipiganwa karne ya 17 na ilichukua miaka 60 kuisha. Ilipelekea vifo vya watu milion 25, kikundi cha Qing dynasty kiliibuka na ushindi na kupelekea kuiongoza China mpaka mwanzoni wa miaka ya 1900 pale Jamhuri ya watu wa China ilipoundwa.
5.Napoleonic wars
Vita hii iliyochangiwa na mapinduzi ya Ufaransa ya mwaka 1789, ilikuwa ni vita iliyotangazwa na mataifa ya Ulaya yaliyopinga utawala wa Napoleonic Ufaransa. Ufaransa lilikuwa taifa kubwa baada ya Napoleon kutwaa sehemu kubwa ya Ulaya. Mpaka baada ya kupigwa na Urusi 1812 mapigano yaliyosababisha mauaji ya watu mil 6 na nusu.