Tangu ujiunge jf umefaidika na kupungukiwa na nini?

Engineer Hassan

JF-Expert Member
Apr 28, 2017
477
504
Imagine mtu ambaye hajajiunga humu jf akakuuliza tangu ujiunge jf umepata faida kwa kiwango kipi na vitu gani umepungukiwa baada ya kujiunga humu ?

Mimi tangu nijiunge humu JF baadhi ya vitu vyangu muhimu nimeshindwa kuvifanya on time kwa sababu ya kunogewa na mijadala mbalimbali inayoendelea humu JF,lakini vilevile kwa upande wa pili nimefanikiwa kwa kiasi fulani kuongeza uelewa juu ya mambo mbalimbali yanayoendelea hapa nchini na duniani kwa ujumla.
 
Kiukweli Hata Mimi nashindwa kufanya vitu changu on time kwa sababu ya mijadala,pia sometimes inakuwa disappointed na majibu mabaya ya watu.

Faida
Kwanza nimepata Marafiki wengi,wa ndani na nje ya nchi. Haswa zaidi kipenzi relato
Pili nimeongeza ufahamu na ninaongeza ufahamu wa siasa haswa kupitia kwa BAK
Tatu,ninajifunza mengi kupatia matatizo,shida na raha za watu wengine kupitia nyuzi zao za kijamii.
Nne ninajifunza kuhusu mapenzi (napenda sana topic za mapenzi)
 
Imagine mtu ambaye hajajiunga humu jf akakuuliza tangu ujiunge jf umepata faida kwa kiwango kipi na vitu gani umepungukiwa baada ya kujiunga humu ?

Mimi tangu nijiunge humu JF baadhi ya vitu vyangu muhimu nimeshindwa kuvifanya on time kwa sababu ya kunogewa na mijadala mbalimbali inayoendelea humu JF,lakini vilevile kwa upande wa pili nimefanikiwa kwa kiasi fulani kuongeza uelewa juu ya mambo mbalimbali yanayoendelea hapa nchini na duniani kwa ujumla.

Nimefaidika kuongeza uwezo wangu wa kiakili na hasa kujenga ' Hoja ' kutoka kwa very Geniuses Members wa JF hadi huku ' Kitaa ' nakubalika na naogopeka mno na ' wajinga wajinga ' waliojazana. Hasara niliyoipata kutoka kwa JF ni kwamba uwepo wangu humu 24/7 umesababisha kupunguza ' ushirikiano ' wangu wa ' Kibaiolojia ' na Mpenzi wangu hasa tuwapo Kitandani.
 
Kiukweli Hata Mimi nashindwa kufanya vitu changu on time kwa sababu ya mijadala,pia sometimes inakuwa disappointed na majibu mabaya ya watu.

Faida
Kwanza nimepata Marafiki wengi,wa ndani na nje ya nchi. Haswa zaidi kipenzi relato
Pili nimeongeza ufahamu na ninaongeza ufahamu wa siasa haswa kupitia kwa BAK
Tatu,ninajifunza mengi kupatia matatizo,shida na raha za watu wengine kupitia nyuzi zao za kijamii.
Nne ninajifunza kuhusu mapenzi (napenda sana topic za mapenzi)
You are among the reason nipo jf mpaka Leo.
Nikuulzwa hilo Swali jibu moja tu. Nimepata rafiki wa kweli maishani mwangu kupitia jf.

Live long maserati wangu,Mungu akupe miaka tele kwa ajili yangu na wale wote tunaokupenda
 
Dah! Hii ni heshima kubwa sana Maserati. Ahsante sana kwa kuona kwa namna moja au nyingine umejifunza toka kwangu.

Naandika humu kutokana na usongo tu wakuona nchi yetu yenye utajiri mkubwa sana haina maendeleo yoyote yale ya kuridhisha pamoja na utajiri huo wa rasilimali.

Ninachokiona ni viongozi kuwa matajiri wa kutisha kupitia mara nyingi njia haramu za kifisadi na kujipangia sera za kujipendelea wao kama mishahara mikubwa sana na marupu rupu ya hali ya juu huku wakidai hakuna pesa za kuongeza mishahara ya wafanyakazi wengine nchini na kusababisha wafanyakazi wengi nchini kuishi katika maisha ya ufukara mkubwa

Marais wote tangu awamu ya tatu wakimaliza awamu zao ni mabilionea, Wabunge na Mawaziri ni mamilionea lakini asilimia kubwa ya Watanzania hata mlo mmoja tu hawajui watautoa wapi. Wakiugua ni shida wengi hawamudu kabisa gharama za matibabu hivyo wengi kuamua kwenda kwa waganga wa kienyeji.

Mimi nilichofaidika humu ni kujifunza mengi kutoka kwa wachangiaji mbali mbali na kupata marafiki wa karibu na ni watu wastaarabu na waungwana sana.

Kwa mara nyingine tena ahsante sana Maserati.



Kiukweli Hata Mimi nashindwa kufanya vitu changu on time kwa sababu ya mijadala,pia sometimes inakuwa disappointed na majibu mabaya ya watu.

Faida
Kwanza nimepata Marafiki wengi,wa ndani na nje ya nchi. Haswa zaidi kipenzi relato
Pili nimeongeza ufahamu na ninaongeza ufahamu wa siasa haswa kupitia kwa BAK
Tatu,ninajifunza mengi kupatia matatizo,shida na raha za watu wengine kupitia nyuzi zao za kijamii.
Nne ninajifunza kuhusu mapenzi (napenda sana topic za mapenzi)
 
Nimefaidika kuongeza uwezo wangu wa kiakili na hasa kujenga ' Hoja ' kutoka kwa very Geniuses Members wa JF hadi huku ' Kitaa ' nakubalika na naogopeka mno na ' wajinga wajinga ' waliojazana. Hasara niliyoipata kutoka kwa JF ni kwamba uwepo wangu humu 24/7 umesababisha kupunguza ' ushirikiano ' wangu wa ' Kibaiolojia ' na Mpenzi wangu hasa tuwapo Kitandani.
 
Aah mpaka naanza kuona wivu imegeuka thread ya kusifiana tuuu.

Nimefaidika kupunguza jam kwenye gallery yangu,nikipata picha tu natupia humu kazi kwisha.

Hasara vocha za MB haka ka mtandao kanakula MB kwa video na kadhalika
 
JF imeniongezea ujuzi mbali mbali kiukweli mtaani nikikaa na watu wengine huwa wanabaki kunisikiliza tu kwa mada moto moto nazotoa kuanzia siasa hadi michezo

hasara ni Mb zangu kwa kwelii zinaisha yaani nikikaa siku nzima sijaingia JF najihisi kama kuna kitu kimepungua maishani mwangu
 
Nmepata ushauri mzur sana wa kilimo na ushirikiano sehem nilizofika nilipata wenyeji bila pingamiz,,,kubwa nimepata wateja wengi wa kutaka pass port fasta huwa wananipaga asante japo sio biashara
 
Back
Top Bottom