Tango transport

Tango transport

hazard17

Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
18
Reaction score
0
Ndugu wanajamvi naombwa kujuzwa kuhusu hii kampuni ya tango transport. Miaka ile ya tisini ilikua ni kampuni kubwa sana ya usafirishaji pale Arusha, ila sasa sijui ni nini kimeikumba kampuni hii. Tafadhali mlioko arusha mtujuze kwani magari yanaozea pale viwanja vya nmc. Nawasilisha
 
last year nilionana na mzee tango mmiliki wake pale rose garden aliniambia kuwa kampuni ilifilisiwa na tra kwa ukwepaji kodi,ila alikata rufaa akashinda na analipwa na serikali,but muda huu tayari mr tango alikuwa ameshakunywa kilaji na masihara mengi,
 
last year nilionana na mzee tango mmiliki wake pale rose garden aliniambia kuwa kampuni ilifilisiwa na tra kwa ukwepaji kodi,ila alikata rufaa akashinda na analipwa na serikali,but muda huu tayari mr tango alikuwa ameshakunywa kilaji na masihara mengi,

Tango transport.Kwang yemet.Viran,ni kweli huyu jamaa alikuwa anatisha sana,alikuwa na mashamba ya ngano pale Babati,alianza mikosi baada ya kununua chakula barafu pale jirani na NMC,ikaja scandal ya kukwepa ushuru TRA wakambananisha,mi nafikiri labda hakukifadhili chama chetu au alikosana na wakubwa,hebu aulizwe vizuri maana alifilisiwa enzi ya Sumaye na ni mbulu mwenzie alishindwa kweli kumsaidia???????????????ana magari mabovu pia njia ya kwenda white sand yamepaki miaka mingi sana.kama sikosei alizaa na rubani mwanamke wa kwanza hapa bongo wa air tz.ila wakati wake alikuwa na nyodo huyo usipime
 
last year nilionana na mzee tango mmiliki wake pale rose garden aliniambia kuwa kampuni ilifilisiwa na tra kwa ukwepaji kodi,ila alikata rufaa akashinda na analipwa na serikali,but muda huu tayari mr tango alikuwa ameshakunywa kilaji na masihara mengi,

Mzee Verani Tango hatumii kilaji unachokisema ila tu ni mwenye utani mwingi. Hata hivyo, kwa sasa kutokana na afya yake hana
kumbukumbu nzuri.
 
Mzee Verani Tango hatumii kilaji unachokisema ila tu ni mwenye utani mwingi. Hata hivyo, kwa sasa kutokana na afya yake hana
kumbukumbu nzuri.
duh!sorry nilijua tayari kalewa kwa mazingira yale na mazungumzo yake kunikebehi
 
Inamaana wahindi hawakwepi kodi mbona wanapiga hatua sana kwani kipindi kile jamaa alikua vizuri sana
 
Tango transport.Kwang yemet.Viran,ni kweli huyu jamaa alikuwa anatisha sana,alikuwa na mashamba ya ngano pale Babati,alianza mikosi baada ya kununua chakula barafu pale jirani na NMC,ikaja scandal ya kukwepa ushuru TRA wakambananisha,mi nafikiri labda hakukifadhili chama chetu au alikosana na wakubwa,hebu aulizwe vizuri maana alifilisiwa enzi ya Sumaye na ni mbulu mwenzie alishindwa kweli kumsaidia???????????????ana magari mabovu pia njia ya kwenda white sand yamepaki miaka mingi sana.kama sikosei alizaa na rubani mwanamke wa kwanza hapa bongo wa air tz.ila wakati wake alikuwa na nyodo huyo usipime

Alikuwa na maneno ya dharau na kufuru sana !
Pamoja na mambo mengi kumkumba, pia Mwenyezi Mungu anamuonyesha upande wa pili wa shilingi !
 
Nakumbuka miaka ya tisini tingatinga lilibomoa ukuta wake pale karibu na nmc nilikuwa form 2 pale arusha meru sec na nilishuhudia
 
Tango transport.Kwang yemet.Viran,ni kweli huyu jamaa alikuwa anatisha sana,alikuwa na mashamba ya ngano pale Babati,alianza mikosi baada ya kununua chakula barafu pale jirani na NMC,ikaja scandal ya kukwepa ushuru TRA wakambananisha,mi nafikiri labda hakukifadhili chama chetu au alikosana na wakubwa,hebu aulizwe vizuri maana alifilisiwa enzi ya Sumaye na ni mbulu mwenzie alishindwa kweli kumsaidia???????????????ana magari mabovu pia njia ya kwenda white sand yamepaki miaka mingi sana.kama sikosei alizaa na rubani mwanamke wa kwanza hapa bongo wa air tz.ila wakati wake alikuwa na nyodo huyo usipime

Mkuu hakuzaa nae yule mwanamama rubani yule mama hana mtoto hadi leo hii
 
jamani utajiri wa kuleee?huwa si wa kudumu kama hautafilisika baada ya muda basi ukifa tu unapotea ,sio yeye mwenyewe wako wengi tu ,kina marehemu titus,mama shida, kakunda, hawa walikuwa matajiri wa mawe enzi za utajiri wa huyu tango,huyu titus alikuwa anataka mpaka kununua ndege enzi za NYERERE,LAKINI ALIZUILIWA na Rais,wakati ule.
 
Namtafuta Binti yake Flora nime m miss sanaaaa. Hebu mwenye picha aniwekee alivyo kwasasa macho yangu yaburudikee
 
ya NJIA YA KUELEKEA WHITE SAND YAPO KANMA MANNE HIVI NAYAONA KILA SIKU,YAMEKUWA SCRAPPER.
 
Back
Top Bottom