Tangazo linalodhalilisha!

PakaJimmy

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2009
Posts
16,202
Reaction score
8,781
Hili tangazo ni mojawapo ya meengi yaliyopo kwenye pages za JF.





Hivi wakubwa zangu kitengo cha JF Marketing mnafanya screening ya haya matangazo kabla ya kuyaweka au mnapaste tu?
 
Nadhani ni hilo linalosema "...... studying", kizungu kimepinda.
 
Hili tangazo ni mojawapo ya meengi yaliyopo kwenye pages za JF.





Hivi wakubwa zangu kitengo cha JF Marketing mnafanya screening ya haya matangazo kabla ya kuyaweka au mnapaste tu?

Hahahahahaa!
 
Hicho chingeleza chipo sawa kabisaaa, wala sioni baya. Chinafanana na uchumi wetu na hadhi ya cherikali
 
"admissions officers"....hapana chezeya kidhungu kama huna wito
 
Tangazo = Fedha
Kama muundo wa lugha umekosewa kosa sio la ubao wa matangazo, bali kosa ni la mwandishi wa tangazo.
Katika hili sioni kama JF wana la kulaumiwa, kama mshiko washalamba na tangazo limewekwa.
Vigezo muhimu amavyo huwa najua vinatakiwa(sio JF tu, bali hata kwa sites nyingine) ni vya kiufundi zaidi mathalani "format ya picha ie jpg, png, gif etc", "size ya picha in pixels, cm, inches etc", content ya tangazo isiwe na violations zozote au maslahi yoyote kinyume.
Ukilaumu JF kwa tangazo lenye kosa unaloliona humu, basi laumu na posts zenye makosa ya kisarufi zinazopewa nafasi pia humu.
 
umenikumnusha vitabu vya zaman!
lakini jamaa waliachwa hoi kwa ung'eng'e huo!

Tena wakamuona boooonge la msomi, kama ambavyo baadhi yetu humu wasivyoona kosa kwenye tangazo hilo!!
 
WELL SPOKEN!

JF kama msaka fedha hana kosa sana katika tangazo hilo.
What i was trying to say ni customer care zaidi!...kama watu wa Marketing wanaona mteja wao analeta tangazo fyongo kiasi hicho ilipasa wamshauri ili na yeye imlipe kwa kuonekana yuko makini!
I hope the guys are not GIGO, na ndiyo maana niliuza kama wanafanya screening kabla ya kuyatundika!
Tangazo lolote hapa ndani of course linamhusu aliyelileta, lakini to some extent linaihusu JF management as far as institution image is concerned!
Hope iam clear now.

 
Tanzania is the unification of Tanganyika and Zimbabwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…