Wernery G Kapinga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 372
- 119
Jimbo Katoliki la Ifakara linawatangazia watanzania wote kuwa, limefungua shule mpya ya Sekondari iliyosajiliwa kwa jina la ST. RAPHAEL SECONDARY SCHOOL na kupewa namba ya Usajili S.5061.
Kwa sasa inatangaza nafasi za masomo kwa PRE-FORM ONE kwa jinsi zote, yatakayoanza tarehe 21-09-2019. Masomo hayo yatafanyika kwa miezi 3 Hadi mwezi wa 12.
Ada kwa wanafunzi wa Bweni ni 250,000/= kwa miezi yote 3. Na kwa wanafunzi wa kutwa ni 150,000/= kwa miezi yote 3.
Fomu zinapatikana katika parokia zote za Jimbo Katoliki la Ifakara au wasiliana;
Katibu wa elimu: 0716614466
Mkuu wa Shule: 0621538913
Shule ipo Kibaoni Ifakara mjini. Shule ipo katika mazingira mazuri ya kujisomea na miundombinu rafiki kwa kila mwanafunzi.
Karibuni Nyote, kwa elimu na Malezi Bora.
Kwa sasa inatangaza nafasi za masomo kwa PRE-FORM ONE kwa jinsi zote, yatakayoanza tarehe 21-09-2019. Masomo hayo yatafanyika kwa miezi 3 Hadi mwezi wa 12.
Ada kwa wanafunzi wa Bweni ni 250,000/= kwa miezi yote 3. Na kwa wanafunzi wa kutwa ni 150,000/= kwa miezi yote 3.
Fomu zinapatikana katika parokia zote za Jimbo Katoliki la Ifakara au wasiliana;
Katibu wa elimu: 0716614466
Mkuu wa Shule: 0621538913
Shule ipo Kibaoni Ifakara mjini. Shule ipo katika mazingira mazuri ya kujisomea na miundombinu rafiki kwa kila mwanafunzi.
Karibuni Nyote, kwa elimu na Malezi Bora.