Ufisadi uko kwenye kiini cha matatizo ya watanzania..hata ukiwekeza kwenye elimu, kilimo etc bila kushugulikia rushwa na ufisadi, unafanya kazi bure.
Lowassa amegoma kutamka kuwa atapambana na mafisadi..hili linanipa wasiwasi mkubwa sana..nakuonea huruma pia wewe