mavela
Senior Member
- Oct 1, 2014
- 149
- 66
Wadau habari?
Leo nimetembelea tovuti ya wizara ya elimu ili nilisome upya lile tangazo la wahitimu wa mafunzo ya ualimu wa masomo ya sayansi wa mwaka 2015 lililowataka kutuma vyeti hadi kufikia tarehe 16 December. Lakini cha ajabu tangazo lenyewe sijaliona.
Nauliza; je, limeondolewa kwenye tovuti hii? http://moe.go.tz/sw/component/k2/it...ya-sayansi-na-hisabati-kwa-shule-za-sekondari
Mwenye majibu tafadhali
Leo nimetembelea tovuti ya wizara ya elimu ili nilisome upya lile tangazo la wahitimu wa mafunzo ya ualimu wa masomo ya sayansi wa mwaka 2015 lililowataka kutuma vyeti hadi kufikia tarehe 16 December. Lakini cha ajabu tangazo lenyewe sijaliona.
Nauliza; je, limeondolewa kwenye tovuti hii? http://moe.go.tz/sw/component/k2/it...ya-sayansi-na-hisabati-kwa-shule-za-sekondari
Mwenye majibu tafadhali
