Tangazo la IPP media/ ITV la kumkaribisha ….

Tangazo la IPP media/ ITV la kumkaribisha ….

Ambiente Guru

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2012
Posts
2,623
Reaction score
1,096
Tangazo la ITV la kumkaribisha Rais wa Marekani Mheshimiwa Barrack Obama linaniacha mdomo wazi pale wanapomtaja mke Raisi Michelle Obama kama "Mrs" badala ya "First Lady".


Yuko mbele ya wanawake wote Marekani na ni mfano mzuri wa kuigwa "Roll Model" kwa wamama na watoto.

She is a quality role model for women and girls na tayari amejiwekea historia ya kipekee duniani.

Naona wamekosa umakini katika kuhariri tangazo hili ki-Diplomasia na hivyo kumshushia heshima Mama huyu.
 
Mbona sijaliona? Limeanza lini kuoneshwa? Tv yenyewe siku hizi imekuwa ya kisisiem zaidi
 
Kweli Mdau! Kuangalia TV imekuwa kero. Tunaishia kuonapicha sio maneno tena. Kila kipaza sauti/sauti inayozungumzia Katiba au polisi au issue inayogusa/ vs. the system hukabwa koo. Kama mdahalo wa Mrema na Mkapa 1995.
 
hapa kaka una jivua nguo....hakuna atakaye kujibu vyema...ila uko.sawa...protocal zinapaswa kifuatwa...mbona obama hawakusema 'eti Mr Obama'..wamesema rais wa...mkewe jeee....
 
Tangazo la ITV la kumkaribisha Rais wa Marekani Mhesh. Barrack Obama linaniacha mdomo wazi pale wanapomtaja mke wake Michelle Obama kama "Mrs" badala ya “First Lady”. Naona wamekosa umakini katika kuhariri tangazo hili kidiplomasia. Wamenikumbusha matangazo ya Kijapani yenye kiingereza kibovu wakati wa World Cup.

kwani lazima aitwe first lady lakini..
 
Hivi wamekosa matangazo mpaka waanze kutumiwa na nyinyiemu??
 
she is still mrs 0bama
Yes, Mahdiya,but in international diplomacy she is normally addressed as 'the USA first lady' Diplomasia aisee ina miiko na sheria
nyingi sana hasa iwapo mhusika ni mgeni wako!
 
Last edited by a moderator:
hapa kaka una jivua nguo....hakuna atakaye kujibu vyema...ila uko.sawa...protocal zinapaswa kifuatwa...mbona obama hawakusema 'eti Mr Obama'..wamesema rais wa...mkewe jeee....

[hapa kaka ]

Hivi unaweza kutambua jinsia ya mleta habari humu JF ?.
Nje ya Mada kidogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom