Tangazo la epuka michepuko

kwenda mwezini ni jambo jema sana. lakini kusema wenzako wana sura mbaya si jema. kwani wewe ni nani? wewe si MUngu

Ndo tupende kuheshim baraka zake mungu kwa kuwatunuku wenye vigezo, mbona upande wa saut namweka yy, milard ayo,khamis mand, gadna na wengneo waliobarkiwa saut nzuuri kroho safiii????? Hna muonekano mzur kukubali udhaifu n ushnd ndugu
 
Tatizo sio sura mbaya tatizo kuridhishwa kitandani, we kuwa na shalobaro anagonga hata ufiki kileleni anamaliza kama ujaja kwa sura mbaya wanasimamia hadi kucha, hapo mwanamke nje haendi na michepuko inatoweka

Umetisha mkuu
 
Kumbe na ww umeona eee,data sura pia
 
Kuulewa sio tatzo,tatzo je litafanikiwa wafikia walengwa wote na onesha postve results?huna muonekAno mzur unategeme watu watakuangalia????

Tangazo la UKIMWI sura nzuri ya nini? Bora huyo mwenye sura inayotisha kama ukimwi wenyewe.
 
Acha wivu

hizo ni akili za kitoto eti ....
dental fomula inanichefua.... kinachoangaliwa sio muonekano wa prezenta bali kilichoangaliwa ni mtu influential na anaweza kufanya tangazo? au ulitaka wakupe.ww ambae hata hujawah kutangaza zawad harusini. uwe unafikir kabla yakuweka coment hapa mana ww ndo unatuchefua
 
Tusidharauliane au kubaguana kutokana na sura zetu hii yote ni mipango ya Mungu , we kama unadhani sura nzuri ndiyo inakupa hadhi ya kuwa mwanadamu shauri yako.Halafu mambo ya kuchunguzana sura nadhan yapo tanzania tu ndiyo maana hatuendelei kwa vimambo vidogo:A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed::eyebrows:
 
Ndg zangu maisha hayana formula leo una dental safiii kesho unaanguka na bajaji reception plus dental kwishaa.sasa usimseme mwenzako kwa kujiona upo sawa MUNGU hadhihakiwi anaweza kukufanya vyovyote apendavyo. kuhusu status yake ni kwamba wewe huijui kesho yako unaweza ucpate HIV ukapata Cancer so vaa viatu vyake ninauhakika hutaona mapungufu yake
 

Big Like from ngafu
 
Wewe mtoa mada una visa na Kibonde?Kwanini umeamua kumdhalilisha hivyo,mapengo yanakuhusu nini?
 
Tumlilie Kibonde
RIP Ephraim Samson Kibonde
P.
 
huna muonekAno mzur unategeme watu watakuangalia????
Kijana wangu, video nayo ina sauti, hivyo kama hawatamuangalia basi watamsikia; Yaan mpaka wewe umekuja hapa na kumuelezea maana yake umeshmuona tayari(hukujizuia kumwangalia), Hivyo wamefanikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…