Tangazo la Chapati za AZAM: Table manners please!

Tangazo la Chapati za AZAM: Table manners please!

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,408
Reaction score
14,113
Tangazo la kunadi unga wa Azam linatia kichefu chefu!
Kuna mtu anakula chapati na wakati huo huo anaongea!

Kinachotokea hapo kinaeleweka kwa mtu mstaarabu, mate kutemwa ovyo na chakula na mate yake kutoka mdomoni.

Kinyaa tupu.

Azam wanawajibu wa kutengeneza matangazo yenye kuonyesha tabia nzuri ya kula hasa mezani. Uswahili uswahili usitumike kujipatia faida bila kuonyesha wajibu kwa jamii.
 
..cha muhimu ni UNGA wa AZAM...basi...ayo mengine...hayawahusu....table manners no western culture...jadi ya waswahili ni mazungumzo hata mda wa kula...infact kuna very rare chances of chocking hazard
 
Ni tangazo la radio ...ila wamejaribu kusimulate "involuntary reaction" ya huyo jamaa aliyekuwa anakula ...
 
Table Manners ni complete package.
Kuongea ni minor case kwenye hilo swala.
Waafrica hatuna hilo swala.
 
Kwanza mtu makini utanunuaje chapati za kiwandani.Si afadhali ukanunua za mama ntilie kama umeshindwa kupika mwenyewe maana unajua kilichotokea.Sasa za Azam mm jamani,"globalization" humo humo.Watatumaliza hawa.
Tangazo la kunadi unga wa Azam linatia kichefu chefu!
Kuna mtu anakula chapati na wakati huo huo anaongea!

Kinachotokea hapo kinaeleweka kwa mtu mstaarabu, mate kutemwa ovyo na chakula na mate yake kutoka mdomoni.

Kinyaa tupu.

Azam wanawajibu wa kutengeneza matangazo yenye kuonyesha tabia nzuri ya kula hasa mezani. Uswahili uswahili usitumike kujipatia faida bila kuonyesha wajibu kwa jamii.
 
ndugu you are right, table manners sio kitu cha western tu, kwani mnaokataa mlivyokuwa wadogo wazazi wenu hawakuwaambia usiongee ukiwa na chakula mdomoni?!..hoja ya sijui ni western and we are african ni nonsense
 
Table Manners ni complete package.
Kuongea ni minor case kwenye hilo swala.
Waafrica hatuna hilo swala.
Kama umesoma, kuelewa na kujua namna ya kubofya kifaa chako humu mtandaoni, hata ukiwa mwafrika, elimu hiyo ikusaidie na jinsi ya kuishi kistaarabu.
 
ndugu you are right, table manners sio kitu cha western tu, kwani mnaokataa mlivyokuwa wadogo wazazi wenu hawakuwaambia usiongee ukiwa na chakula mdomoni?!..hoja ya sijui ni western and we are african ni nonsense

Ukiona mtu anapinga ujue hakufundishwa table manner kwa hivyo hata yeye mwenyewe hana, ila kimsingi inachefua
 
Ukiona mtu anapinga ujue hakufundishwa table manner kwa hivyo hata yeye mwenyewe hana, ila kimsingi inachefua
Watu wa Azam hawajawahi kufuga nguruwe inaelekea, hilo tangazo linanikumbusha nguruwe wanavyokula kule kijijini kwetu.
 
Tangazo la kunadi unga wa Azam linatia kichefu chefu!
Kuna mtu anakula chapati na wakati huo huo anaongea!

Kinachotokea hapo kinaeleweka kwa mtu mstaarabu, mate kutemwa ovyo na chakula na mate yake kutoka mdomoni.

Kinyaa tupu.

Azam wanawajibu wa kutengeneza matangazo yenye kuonyesha tabia nzuri ya kula hasa mezani. Uswahili uswahili usitumike kujipatia faida bila kuonyesha wajibu kwa jamii.

Hili tangazo linaweza kushinda kwenye ligi ya matangazo mabovu sana ya biashara hapa Tanzania.
 
Back
Top Bottom